• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wataalam ngazi za mikoa na halmashauri wahimizwa kuhamasisha uzalendo kwa jamii

Imewekwa tarehe: May 24th, 2024

Na WMJJWM- Dodoma

WATAALAM wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii pamoja na kada nyingine kutoka ngazi ya mikoa, halmashauri na kata nchini wametakiwa kuhamasisha jamii kuwa wazalendo, kujitolea na kuchangia katika shughuli za maendeleo katika maeneo yao ili kutatua changamoto zinazowakabili.

Hayo yalisemwa  jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Patrick Golwike wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wataalam kutoka ngazi ya Mikoa na Halmashauri kuhusu utekelezaji wa Mpango wa kuhamasisha na kusimamia Maendeleo Ngazi ya Msingi wa mwaka 2022/23-2025/26.

Golwike amesema Serikali inatambua mchango wa Timu ya Wataalamu ngazi ya mkoa, wilaya na kata katika kutoa huduma kwenye nyanja mbalimbali kwa jamii kwa kuandaa mafunzo hayo yatakayowezesha Mpango huo kuwafikia wataalamu waliopo kwenye maeneo yao kwa haraka.

"Natoa rai, kuwa ujuzi mtakaoupata mkautoe kwa Wataalam wa ngazi ya kata ambao ndiyo kiungo muhimu baina ya Wananchi na Serikali" amesema Golwike.

Aidha, Golwike amewaagiza wataalamu hao kwa kila mkoa kuandaa na kuwasilisha mpango kazi wa utekelezaji wa Mpango kwa kuanza kutoa mafunzo ya Mpango kwa Wataalamu ngazi ya msingi kwani bila ya kuwa na mpango kazi wa utekelezaji ni upotezaji wa rasilimali fedha na muda, kuweka mpango wa utaratibu wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi Ngazi ya msingi badala ya kusubiri viongozi wa ngazi za juu na kujenga mazoea ya kufanya kazi kwa timu na kuwajibika ili kuwa na kazi zenye matokeo na tija.

Pia ameagiza timu za Wataalamu ngazi ya Wilaya na kata kuwezeshwa ili kuhakikisha wanafanya vikao vya kufuatilia utekelezaji wa Mpango na kufanya maboresho kwenye maeneo yanayohitaji marekebisho na kuandaa na kuwasilisha taarifa za utekelezaji.

Vilevile amesema matokeo ya kuhamasisha uzalendo kwa jamii yatafanya kuwa na Taifa linalopenda yao, jamii inayofanya kwa bidii na jamii inayojitolea katika shughuli za maendeleo katika maeneo yao.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.