• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Watanzania wahitaji Elimu ya Magonjwa Yasiyoambukizwa

Imewekwa tarehe: November 13th, 2022

WATANZANIA wanahitaji elimu zaidi ili waweze kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo ugonjwa wa kisukari ambao umekua ukiongezeka nchini.

Hayo yamesemwa leo na Katibu Tawala Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Petro Sabato kwenye madhimisho ya siku ya Kisukari Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika Wilaya ya Misungwi Jijini Mwanza.

"Elimu inahitajika zaidi ili kuwakinga wananchi na Magonjwa Yasiyoambukiza hasa Kisukari kwa kuwa ugonjwa wa Kisukari umekua ukigharimu maisha ya watu ikiwa ni pamoja na kukatwa baadhi ya viungo ." Amesema Bw. Sabato

Aidha, Bwa. Sabato ametoa rai kwa wananchi kufanya mazoezi sambamba na kupima Afya angalau mara moja kwa mwaka ili ukigundulika mapema inakuwa rahisi kupata matibabu.

Kwa upande wake Kaimu Meneja Mpango wa Kudhibiti Magonjwa Yasiyoambukiza Bi. Valeria Milinga amesema vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza yanachangia kwa asilimia 33 huku ugonjwa wa kisukari ukiwa ni 9.10%

"Katika kuongeza uhamasishaji na uelewa kwa wananchi juu ya magonjwa yasiyoambukiza hasa ugonjwa wa kisukari tumeweza kufanya maonyesho ya wiki ya magonjwa

yasiyoambukiza yaliyoanza tarehe 5-12, Novemba 2022 ambayo yanafanyika kila mwaka." Amesema Bi. Milinga

Aidha, Bi. Milinga ametaja mafanikio ya maonyesho hayo kwa mkoa wa Mwanza hadi kufikia siku ya kilele tarehe 12, Novemba, 2022 wananchi takriban 3000 wamejitokeza kupima
ugonjwa wa kisukari na 34 kati yao wamegundulika kuwa na ugonjwa huo.

Hata hivyo, amebainisha mafanikio waliyoyapata katika utoaji wa huduma za kisukari ikiwemo upatikanaji wa Dawa, utoaji wa mafunzo kwa watoa huduma za Afya katika Vituo 300 kwenye
Mikoa 9. 

Naye, Mwenyekiti wa Chama cha Kisukari Tanzania Prof. Andrew Swai amesema miaka ya 1991 kulikuwa na 1% tu ya ugonjwa wa kisukari nchini lakini kwa sasa imeongezeka hadi kufikia 9%.

"Kutokana na ongezeko la ugonjwa wa kisukari nchini imekua tatizo ambapo inagharimu 20% ya bajeti ya Serikali ili kuwahudumia wagonjwa hao." Amesema Prof. Swai


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.