• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wazazi Mnadani watakiwa kuwa karibu na watoto kuwalinda dhidi ya ukatili

Imewekwa tarehe: May 29th, 2023

Na. Dennis Gondwe, MNADANI

Wazazi wa Kata ya Mnadani wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuwaepusha na kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia na kuwaathiri kisaikolojia.

Kauli hiyo ilitolewa na Diwani wa Viti maalum Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Fatuma Zollo alipokuwa akiongea na wakazi wa Kata ya Mnadani kuhusiana na madhara ya ukatili wa kijinsia katika jamii.

Zollo alisema kuwa wazazi wanawajibu mkubwa kuwakinga watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. “Sote tunatambua kuwa watoto wamekuwa wahanga wakubwa wa vitendo vya ukatili wa kijinsia. Njia pekee ya kuwasaidia watoto ni kuwa karibu yao na ili waweze kuwaeleza viashiria vya ukatili wa kijinsia wanavyokabiliana navyo mapema kabla hali haijawa mbaya. Ukatili wa kijinsia kwa watoto unawaathiri kimwili, kihisia na kisaikolojia. Baadhi ya watoto wamepoteza ndoto katika maisha yao kutokana na vitendo hivi” alisema Zollo.

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Kata ya Mnadani, Farida Mbarouk aliipongeza serikali kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo katika Kata ya Mnadani. “Serikali imefanya mambo makubwa sana kutujengea shule, vituo vya afya na mikopo ya asilimia 10 isiyo na riba inayotolewa na halmashauri ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM. Serikali imetujengea madarasa tisa na sasa shule mpya inajengwa. Utekelezaji huu utaongeza ufaulu kwa wanafunzi katika Kata ya Mnadani kwa sababu walimu wapo wa kutosha” alisema Mbarouk.

Alisema kuwa suala la ardhi lilikuwa changamoto kubwa. “Sasa ardhi inapimwa na watu wanamilikishwa viwanja. Suala la miundombinu ipo vizuri, barabara zinapitika muda wote. Maji yanapatikana kila siku” alisema Mbarouk.

Kwa upande wake mwananchi Aisha Juma alisema kuwa elimu ya ukatili wa kijinsia ni muhimu kwa jamii. Alisema kuwa Watoto wamekuwa wahanga wakubwa wa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii na kushauri utoaji wa elimu dhidi ya ukatili iwe ajenda endelevu.

Madiwani 14 wa Viti maalum wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wanafanya ziara katika kata 41 za jiji hilo kutoa elimu dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii na fursa za kiuchumi.


 





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.