• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Mkuu Majaliwa ataka hati miliki kwa wabunifu

Imewekwa tarehe: May 12th, 2021

SERIKALI ya Tanzania imefadhili jumla ya miradi 215 ya Sayansi, Teknoljia na ubunifu katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, mifugo, afya, nishati, maliasili na viwanda kuanzia mwaka 2015, ambapo miradi 139 imekuwa ya utafiti, 47 ya kiubunifu, na 29 ya kuboresha miundombinu ya maabara za utafiti.

Hayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kilele cha mashindano ya kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) mwaka 2021, yaliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini hapa.

Waziri Mkuu Majaliwa alisema kuwa mashindano hayo yana umuhimu mkubwa katika kuboresha uchumi wa nchi ambapo mashindano hayo yanagusa uchumi wa mtu binafsi na kuleta mafanikio ya kiuchumi kimataifa.

“Lakini vilevile, kwa upande wa mitaala kutoka ngazi mbalimbali za elimu ni vyema tuandae mitaala ya namna ambayo itawafanya wahitimu kuwa wabunifu mwisho wa masomo yao” alisema Waziri Mkuu Majaliwa.

Akiongelea suala la hati miliki, Waziri Mkuu alisema kuwa, kazi kubwa ni kutoa kipaumbele kwa hati miliki ya mgunduzi kwa sababu ndiyo njia ya kumfanya apate faida kupitia ubunifu wake.

“Takwimu zetu zinaonesha kuwa shirika la hati miliki duniani linaitwa ‘World Intellectual Property Organisation’ (WIPO), linalokusanya maombi ya hati miliki kutoka nchi mbalimbali na mpaka kufikia mwaka 2020 Tanzania tulipeleka maombi nane huku nchi za jirani 372, Afrika ya Kusini 1,514” alisema Waziri Mkuu.

Aidha, alizishukuru taasisi 50 zikiwemo za  Serikali na zisizo za Serikali zilizoshiriki katika mashindano ya kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, na kuongeza kuwa changamoto zilizopo zimekwisha elekezwa kwa Wizara na taasisi zenye dhamana.

Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, yamefanyika kwa mara ya tatu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma yakiongozwa na kaulimbiu isemayo “Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kwa Uchumi endelevu”.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.