• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wito watolewa wataalam kuimarisha huduma za utambuzi wa mapema Watoto wenye ulemavu

Imewekwa tarehe: June 17th, 2022

MKURUGENZI Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Bw. Rashid Mafutaa ametoa wito kwa watoa huduma za afya kushirikiana na wadau wa mashirika yanayotoa huduma kwa watu wenye ulemavu nchini kuimarisha huduma za utambuzi wa mapema kwa watoto wenye ulemavu katika jamii na vituo vya afya.

Bw. Mafutaa ameyasema hayo mapema wiki hii alipokuwa akifungua kikao kazi cha kutengeneza mpango mkakati wa taifa wa utengemao (National Rehabilitation Strategic Plan-NRSP) jijini Dodoma.

“Mhe. Rais alisisitiza katika kikao chake na watu wenye ulemavu kuimarisha suala la utambuzi wa mapema kwa watoto wenye ulemavu katika jamii vilevile katika vituo vya kutolea huduma za afya” alisema Bw. Mafutaa na kuwataka wataalam kutengeneza Muongozo ambao utaenda kutusaidia katika uimarishaji wa masuala ya utambuzi wa mapema kwa watoto wenye ulemavu katika jamii

Mkurugenzi huyo aliendelea kusisitiza kuwa endapo jamii itawahi mapema kumgundua mtoto mwenye tatizo la ulemavu itasadia pia katika kuwahi kumuweka kwenye matibabu na kupunguza athari ya kiungo kilichopata changamoto hiyo na kurejea katika hali yake ya kawaida na kumfanya muhusika kujimudu na kuendelea na shughuli zake za kila siku kama kawaida.

“Mfano kama mtu ana changamoto ya usikivu naamini ukimuwahi mapema kumgundua na akapata huduma za mapema atakuwa katika nafasi nzuri ya kuweza kupata usikivu wa awali na kurudi katika hali yake ya kawaida na kuendelea na shughuli zake” alifafanua Bw. Mafutaa

Aidha, Mkurugenzi Mafutaa aliwataka wadau kuungana pamoja katika kuunga mkono jitihada mbambali za serikali za utambuzi wa mapema kwa watoto wenye ulemavu na kuelekeza nguvu ya pamoja katika kutengeneza mpango mkakati wa utengemao ambao utasaidia kufanya utetezi kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum sambamba na kuchochea kuboresha sera na kutekeleza huduma zinazohusu utengemao.

"Tunawashukuru Shirika la Blind Mission (CBM) kwa kufadhili mkutano huu muhimu kama wadau kwa watu wenye ulemavu nchini".

Chanzo: wizara_afyatz (instagram)

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.