Imewekwa tarehe: March 8th, 2020
MWENYEKITI wa dawati la jinsia mkoani Dodoma, Theresia Mdedemi amewaja wazazi na walezi kuwa ni moja kati ya watu wanaofanya vitendo vya ukatili kuongezeka kutokana na usiri na matendo mengi kumalizwa...
Imewekwa tarehe: March 8th, 2020
JAMII nchini imetakiwa kuondokana na mila potofu zinazomkandamiza mwanamke na kufanya kuonekana mnyonge, asiye na haki na dhaifu ili kuweza kumpa uwezo wa kuonyesha uwezo alionao kwani wanawake ni tai...
Imewekwa tarehe: March 8th, 2020
MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Felista Bura amewataka wanawake nchini kushiriki katika shughuli zitakazowezesha kujipatia kipato, huku akiwasisitiza kuachana ...