Mkurugenzi wa JSI ndugu Anthony Mwendamaka akiangalia makabati ya ofisi kabla ya kuyakabidhi kwa walengwa.
Mkurugenzi wa JSI mkoa wa Dodoma bwana Anthony Mwendamaka akimkabidhi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Mh. Profesa Davis Mwamfupe vitendea kazi kwa ajili ya wasimamizi wa wasimamizi mashauri ya watoto Manispaa ya Dodoma
Mkurugenzi wa JSI ndugu Anthony Mwendamaka, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Prof. Davis Mwamfupe na Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma ndugu Godwin Kunambi wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza zoezi la makabidhiano.
Baskeli 25 na makabati 16 yaliyotolewa na shirika la JSI.
Mkurugenzi wa JSI Anthony Mwendamaka na afisa kutoka JSI wakiwa tayari kwa ajili ya zoezi la makabidhiano.
Viongozi na maafisa wa shirika la JSI na manispaa ya Dodoma katika picha ya pamoja
1 CDA Street, 40477
Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA
Simu: +255 26 232 4817
Simu ya kiganjani:
Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz
Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.