• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji katika opesheni ya kujiimarisha kimapato

Imewekwa tarehe: February 25th, 2021

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inafanya oparesheni ya kawaida ya kukagua vyanzo vya mapato ikiwa ni pamoja na kukusanya kodi kwa wafanyabiashara Jijini hapa, ili kuweza kufikia malengo na bajeti waliyojiwekea katika kuelekea mwishoni mwa mwaka wa fedha wa 2020/2021.

Akizungumza na mwandishi wetu Mhasibu wa Kitengo cha Mapato wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Mafita Omary amesema kuwa mapato hayo ndiyo yanayomuwezesha Mkurugenzi kutoa huduma mbalimbali kwa Wananchi zikiwemo za Elimu na Afya.

Aidha, Omary aliongeza kuwa oparesheni hiyo itagusa katika vyanzo vyote vya mapato vya Halmashauri hiyo ikiwa ni pamoja na kukusanya ushuru wa huduma (City service levy), leseni za biashara, ushuru wa masoko, kodi za pango kwenye vizimba pamoja na ushuru wa hoteli.

“Ili ni zoezi la kawaida ambalo tunalifanya kila siku isipokua tumeamua kuongeza nguvu tunapoelekea mwisho wa mwaka wa fedha wa 2020/2021 ili tuweze kufikia lile lengo au bajeti ambayo tulijiwekea wenyewe katika ustawi wa Halmashauri yetu” Alisema Omary.

Alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dodoma kutoa ushirikiano kwa timu hiyo itakapokua inapita katika maeneo yao ya biashara pamoja na kuwakumbusha wale wote ambao hawajalipa ushuru au wamelipa nusu kufika katika ofisi za Jiji kwa ajili ya kufanya malipo huku akiwataka wafanyabishara wasio na leseni kukata leseni mara moja ili kuepusha usumbufu.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 - Awamu ya Pili February 19, 2021
  • Tangazo la Mnada wa Hadhara February 15, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Nne, cha Pili na Darasa la Nne 2020 haya hapa January 15, 2021
  • Zoezi la upandaji miti watumishi wote January 15, 2021
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rais Samia arejea Dar

    April 09, 2021
  • Skauti 130 wapatiwa mafunzo kupambana na majanga

    April 09, 2021
  • Jafo atoa miezi sita machinjio Kizota

    April 09, 2021
  • Rais Mwinyi aongoza dua kumbukumbu ya Karume

    April 08, 2021
  • Angalia zote

Video

Ni wajibu wa kila mmoja kutambua thamani na nafasi yake katika jamii
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.