• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maswali na majibu

Maswali na Majibu ya Katazo la Mifuko ya Plastik

Serikali imepiga marufuku matumizi ya Mifuko ya Plastiki kuanzia tarehe 01 Juni, 2019

Katazo linahusu nini?

Katazo hili linahusu kupiga marufuku uzalishaji, uingizaji, usafirishaji nje ya nchi, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki ya aina zote.


Katazo hili linaanza lini?

Katazo hili linaanza tarehe 1 Juni, 2019.

Kwa nini serikali imeamua kupiga marufuku mifuko ya plastiki?

Serikali imeamuakupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki ili kuepusha athari za kiafya na mazingira zinazoendelea kujitokeza kutokana na matumizi ya mifuko hiyo. Athari za mifuko ya plastiki ni pamoja na kutooza katika mazingira kwani inakadiriwa

Bidhaa gani za plastiki ambazo hazihusiki na katazo hili?

Bidhaa ambazo hazitaathiriwa na katazo hili ni pamoja na vifungashio vya bidhaa kama vile vifungashio vya madawa, vifungashio vya vyakula kama vile: maziwa, korosho, n.k bidhaa za viwandani, kilimo na ujenzi. Hata hivyo, vi

Katika kipindi cha mpito, shehena ya mifuko ya plastiki zitasalimishwa vipi?

Utaratibu maalumu unafanywa ambapo kila Wilaya itatenga eneo maalum la kukusanyia mifuko ya plastiki na umma utatangaziwa maeneo hayo.


Adhabu kwa atakayekiuka katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki ni nini?

Adhabu mbalimbali ikiwemo faini au kifungo gerezani zitahusika kwa atakayekiuka katazo hili kulingana na Kanuni za “Marufuku ya matumizi ya mifuko ya plastiki za Mwaka 2019” zilizoandaliwa chini ya Sheria ya Mazingira ya Mw

Mbadala wa mifuko ya plastiki ni nini?

Mbadala wa mifuko ya plastiki ni mifuko kama vile karatasi, nguo, vikapu, gunia n.k. Mifuko hii ni ile ambayo ni rafiki kwa mazingira kwani inapoisha muda wake huoza katika mazingira. Mifuko hii haina madhara kwa afya ya bi

Uzalishaji wa mifuko mbadala unatosheleza mahitaji?

Uwezo na utayari wa uzalishaji wa mifuko mbadala ni wa kuridhisha. Kwa sasa vipo viwanda vya karatasi 25 hapa nchini. Aidha, tayari kuna viwanda ambavyo vinazalisha mifuko mbadala ya karatasi, nguo na mingineyo ambavyo vina

Taarifa za uwekezaji katika uzalishaji wa mifuko mbadala zinapatikana wapi?

Ili kuepuka usumbufu usiokuwa wa lazima kwa wenye nia ya kuwekeza katika uzalishaji wa mifuko mbadala wa plastiki, wawasiliane na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC); Baraza la Taifa la Usimamizi na Hifadhi ya Mazingira (NEM

Serikali imejipangaje ili kuhakikisha katazo hili linatekelezwa ipasavyo?

Serikali imeandaa Kanuni za “Marufuku ya matumizi ya mifuko ya plastiki za Mwaka 2019”, Kuunda Kikosi kazi cha Serikali, kutoa Elimu kwa Umma ili wananchi wote wanapate taarifa sahihi na kwa wakati na kuhimiza kasi ya uzalishaji wa mifuko mbadala.

Matangazo

  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Maboresho makubwa sekta ya Afya Dodoma

    March 23, 2023
  • Miradi ya Mapato ya ndani yaanza kutoa matunda

    March 23, 2023
  • Agizo la Rais kuhusu Machinga latimia Dodoma

    March 22, 2023
  • Upatikanaji dawa, vifaa tiba waimarika

    March 21, 2023
  • Angalia zote

Video

Bwawa la Mtera kuhudumia Dodoma
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.