• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

Imewekwa tarehe: October 1st, 2025

.Na. Sizah Kangalawe

Habari Dodoma Rs

Wadau wa sekta ya Afya wamepongezwa kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kutokomeza vifo vya wajawazito wakati wa kujifungua na watoto wa umri chini ya Miaka 5.

Pongezi hizo zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Septemba 26 Mwaka huu wakati alipotembelea kituo cha afya Ugogoni, Wilayani Kongwa ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi Wilayani humo.

"Niwashukuru wadau ambao wameona sababu ya kushirikiana na Serikali yetu katika kukamilisha eneo hili la kimkakati ambalo linaendana na maono ya Serikali na miongozo yetu. Nchi yetu imekua ikipambana sana kupunguza vifo vya kina mama na watoto.

Hapa naambiwa mama ambaye bahati mbaya mtoto amefariki akiwa tumboni atapata huduma hiyo ambayo isipotolewa kwa umakini inaleta hatari kwa mama, angalau hapa patasaidia kufanya mama huyo apate mazingira rafiki ya kuokoa uhai wake", amepongeza Mhe. Senyamule

Kituo cha Afya Ugogoni kilipokea fedha kiasi cha Tsh. 23,380,000/= kutoka kwa wadau wa BUFFET FOUNDATION kwaajili ya ujenzi wa jengo maalumu la huduma ya dharura itolewayo kwa ujauzito ulioharibika.

Akizungumza katika eneo la ujenzi wa kituo cha Afya Laikala, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S. Mayeka amepongeza juhudi za Serikali ya awamu ya 6 katika sekta ya Afya.

"Kituo hiki cha afya Laikala kitakuwa ni kituo cha 10 kwenye Wilaya yetu na Katika vituo 10 tulivyonavyo, vituo 6 vimejengwa ndani ya Miaka 4 ya Serikali ya awamu ya sita, kwahiyo unaweza kuona Rais wetu anavyofanya kazi kwa bidii ya kuleta maendeleo", alisema Mhe. Mayeka

Katika ziara hiyo RC Senyamule alitembelea na kukagua Miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa Bweni la Shule ya Sekondari Kimaghai A' na Ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa pia ujenzi wa madarasa 2 na matundu ya vyoo katika Shule ya msingi Kongwa, ujenzi wa jengo la dharula Kwa wajawazito la kituo cha afya Ugogoni na Ujenzi wa kituo cha afya Laikala.

Matangazo

  • Tangazo na Orodha ya Walioitwa kwenye mafunzo ya Wasimamizi, Wasimamizi wasaidizi na Makarani Jimbo la Dodoma Mjini na Mtumba October 23, 2025
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.