• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

Imewekwa tarehe: September 29th, 2025

Na. Hellen M. Minja

Habari – DODOMA RS

Viongozi wa Klabu ya Michezo ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma wakiongozwa na Mwenyekiti wake Dr. Nassoro A. Matuzya, wamefanya mazungumzo mafupi na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma juu ya ushiriki wao kwenye Mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) 2025.

Sambamba nae, pia ameongozana na Viongozi wengine ambao ni Katibu wa Klabu Bw. Majuto Msekela, Nahodha wa Timu ya Michezo ya Wanaume Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bw. Prosper Sanga na Mjumbe wa Kamati ya Michezo ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma Bw. John Kidasi kwenye Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa Jengo la Mkapa Jijini humu.

Lengo la mazungumzo hayo ni kumpatia taarifa ya ushiriki wao katika Mashindano hayo ambayo mwaka huu, yamefanyika Mkoani Mwanza, huku timu ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ikifanikiwa kushiriki michezo hiyo kwa kupeleka Timu ya Wanaume ambayo iliwakilisha katika michezo ya Mpira wa Miguu na kufika hatua ya16 bora.

Aidha, Mchezo mwingine ambao Timu hiyo ilishiriki ni wa kusukuma kete (Draft) kwa Wanaume ambapo walifanikiwa kufikia hatua ya robo fainali na Timu kukabidhiwa Cheti, Medali ya ushiriki sambamba na Jarida la taarifa ya Shirikisho hilo kwa mwaka uliopita wa 2024.

Hata hivyo, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt. Khatibu Kazungu, ametoa rai kwa Viongozi hao kujiandaa vizuri na mapema kwa ajili ya mashindano ya mwakani kwa kuhakikisha wanapeleka timu yenye uwezo thabiti wa kurudi na ushindi kwa sababu Mkoa una Watumishi wa kutosha na wenye uwezo wa kushiriki mashindano hayo ipasavyo.

Michezo ya SHIMIWI ni maelekezo ya Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan - aliyoyatoa Agosti 14, 2025 kwa kuelekeza Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo kuhakikisha Wizara, Taasisi na Idara zote za Serikali zinashiriki na mwaka huu

ilianza Septemba Mosi na kuhitimishwa Septemba 16 na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda.



Matangazo

  • Tangazo na Orodha ya Walioitwa kwenye mafunzo ya Wasimamizi, Wasimamizi wasaidizi na Makarani Jimbo la Dodoma Mjini na Mtumba October 23, 2025
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.