• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mikakati ya Jiji la Dodoma

VIPAUMBELE KATIKA BAJETI YA 2018/2019

Vipaumbele vikuu katika bajeti ya Jiji la mwaka 2018/2019 ni:-

1)      Kuimarisha na kuboresha miundombinu ya utoaji huduma za jamii na uchumi katika Jiji la Dodoma.

2)     Ukamilishaji wa Miradi viporo 

3)     Kuweka mazingira wezeshi yatakayosababisha kuinua na kukuza uchumi wa Halmashauri na kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja katika Jiji la Dodoma.

4)     Kupanga, kupima  ardhi na kusimamia uendelezajiwa mji wa Dodoma ili kuwa na hadhi ya Makao makuu ya Nchi.

Maeneo ya vipaumbele yanayozingatiwa  katika mpango na bajeti ya mwaka 2018/19 vimegawanyika katika makundi makuu mawili kutokana na vyanzo vya fedha na kwa kuzingatia mwongozo wa uandaaji wa bajeti.


MAENEO YA VYANZO VYA NDANI (OWNSOURCE):

Halmashauri kwa kutumia vyanzo vya mapato ya ndani  ndani kwa mwaka wa fedha 2018/2019 itatekeleza maeneo yafuatayo:-

  1. Kuongeza mapato ya Halmashauri kwa kuibua vyanzo vipya vya mapato,kutumia mfumo wa ki-elektronki na vifaa vya kukusanyia mapato vya ki-elekroniki (POS), kukusanya takwimu sahihi ,tathmini ya mara kwa mara na kuongeza usimamizi wa karibu kwa kila chanzo.
  2. Uwekezaji wa Miradi  mikubwa ya kimkakati , Kiuchumi ili kupunguza utegemezi wa  Manispaa kwa Serikali kuu, kutokana na Fedha za Serikali, Njia ya miradi shirikishi ya PPP, Mikopo katika Mabenki
  3. Kuchangia miradi ya maendeleo kwa shughuli zilizoanzishwa na zitakazoanzishwa na wananchi kama njia  mojawapo ya kuunga mkono juhudi zao.
  4. Kuendelea na upimaji wa maeneo mbalimbali katika Manispaa ya Dodoma na kutwaa maeneo na kulipa fidia  ili ikue kwa kuzingatia  mipango endelevu ya ardhi.
  5. Kufungua barabara kwa kuzingatia mipango ya ardhi katika maeneo mapya ya Upimaji
  6. Kutoa huduma bora ya Afya na kujenga miundombinu ya utoaji huduma za Afya ( Zahanati na Vituo vya Afya ) Kujenga nyumba za watumishi na     kutenga fedha kwaajili ya mchakato wa ujenzi wa Hosipitali ya Wilaya.
  7. Kuboresha utoaji wa elimu kwa kuimarisha miundo mbinu ya elimu,(Kama Madarasa, Maabara na  Nyumba za walimu, uhamisho wa walimu (Msingi na Sekondari) na kupeleke fedha mashuleni kwa ajili ya kuchangia shughuli za uendeshwaji wa shule.
  8. Kujenga na kuboresha  masoko, D – center na C-center na vyoo katika maeneo muhimu ya masoko, maeneo ya wazi , minada na kuboresha mnada wa  Msalato.
  9. Kuendeleza kilimo cha umwagiliaji katika Jiji la Dodoma na  kuhamasisha wananchi kukulima mazao ya mbegu za mafuta, korosho na kuendeleza  zao la  zabibu ili liwe zao kuu la biashara Dodoma.
  10. Kuwezesha vikundi vya wakulima kutumia zana bora za kilimo na mashine ndogo za usindikaji mazao.
  11. Kutoa mikopo kwa wanawake , vijana na watu wenye ulemavu na kusaidia makundi maalum kama ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, Albino na  wazee
  12. Kuboresha kitengo cha LOW COST ili kuzalisha bidhaa za ujenzi kwa gharama nafuu na kusaidia/kuharakisha ukamilishaji wa miradi ya Ujenzi ( Madarasa, Maabara, Vituo vya Afya Nyumba za Watumishi nk)
  13. Kujenga Mazingira mazuri ya kufanyia kazi kwa watumishi wa Jiji la Dodoma kwa Kulipa madeni mbalimbali ya wazabuni na watumishi na pia Kutoa vitendea kazi kwa watendaji wa Kata na vijiji.
  14. Kukarabati  majengo na miundombinu mbalimbali ya Halmashauri ili kuboresha utoaji  wa huduma.za jamii ( Maji, Afya, Elimu n.k)
  15. Kuendelea kuelimisha jamii kuhusu lishe bora na kupambana na udumavu wa watoto chini ya miaka mitano.
  16. Kuimarisha miudombinu na kuboresha matumizi ya TEHAMA.
  17. Kuimarisha huduma za uzoaji, uchambuzi, usafirishaji na uzikaji salama wa taka ngumu.
  18. Ujenzi wa machinjio ya kisasa ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma.
  19. Kupima na kutengeneza hati maeneo yanayomilikiwa na Halmashauri
  20. Kujenga mitaro ya miundombinu ya barabara katika makazi mapya
  21. Kujengea uwezo Mabaraza ya Kata.

Aidha katika bajeti hii ya Mwaka wa fedha 2018/2019 fedha zilizoelekezwa kwenye miradi ya Maendeleo ni shilingi 54,560,816,638.00 sawa na asilimia 81.00 ya bajeti yote ambayo ni shilingi 67,149,647,027.00 ya mapato ya ndani.

RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU NA WAFADHILI

Maeneo yaliyopewa kipaumbele kutokana ruzuku kutoka Serikali Kuu na wafadhili ni kama ifuatavyo:-

  1. Kulipa mishahara ya watumishi na shughuli za uendeshaji.
  2. Kuwasilisha asilimia 20 ya GPG kwa shughuliza serikali za mitaa.
  3. Kukamilisha ujenzi wa maabara,vyumba vya madarasa,nyumba za watumishi katika shule za Sekondari na shule za msingi na Sekta ya Afya.
  4. Kukamilisha miradi viporo iliyoanzishwa na wananchi
  5. Kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji safi na salama kupitia mradi wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RWSSP).
  6. Kuboresha  upatikanaji wa huduma za Afya kwa kununua madawa na vifaa tiba, ujenzi na ukarabati wa kutolea huduma za afya na nyumba za watumishi.
  7. Uendeshaji wa elimu bure, mitihani  na kupeleka ada mbadala (capitation), chakula fedha za madawati  katika shule za msingi na sekondari.
  8. Kuwajengea uwezo watumishi na Waheshimiwa Madiwani.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.