• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

Imewekwa tarehe: October 3rd, 2025

Na Sofia Remmi.

Habari - Dodoma RS

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amesema kukosekana kwa hoteli zenye hadhi ya nyota tano kumekuwa kikwazo kwa mikutano mikubwa ya kimataifa kufanyika katika Mkoa huu, licha ya uwepo wa makao makuu ya Serikali.

Mhe. Senyamule amesema hayo tarehe 30/09/2025 alipokuwa akizungumza na wamiliki wa hoteli wa Mkoa wa Dodoma.

Amesema kutokana na hali hiyo sekta binafsi inalo jukumu la kuhakikisha kuwa unafanyika uwekezaji utakaokidhi mahitaji hayo.

"Hivi sasa hatuna hoteli zenye hadhi ya nyota tano ambazo zingeweza kutumiwa na wageni wa kimataifa ambao wanakuja Nchini kwa ajili ya shughuli mbalimbali.

Amesema, viwango vya kimataifa vinahitaji uwepo wa hoteli zenye hadhi ya nyota tano zisizopungua tano ndipo kuwa na uwezo wa kufanyika kwa shughuli hizo katika eneo husika hivyo kutoa wito kwa wawekezaji kutumia fursa hiyo.

"Nitoe wito kwa wawekezaji kuwekeza hoteli zenye hadhi ya nyota tano au mziboreshe zilizopo hivi sasa ili ziweze kufikia hadhi hiyo, serikali imefanya uwekezaji mkubwa sana ikiwamo ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa Msalato.

"Mikutano mikubwa ya kimataifa huwa inafanyika katika makao makuu ya nchi, lakini hivi sasa hatuwezi kutokana na kukosa hoteli na kumbi kubwa zenye hadhi, hivyo hatuna budi kuwekeza katika sekta hii muhimu, "amesema

Kwa upande wake Mwenyekiti wa wamiliki wa Hotel Mkoa wa Dodoma Bw.Gabriel Mauna amezipongeza mamlaka za maji na Umeme kwa kufanya maboresho katika sekta zao na kusababisha kurahisishwa kwa huduma hizo muhimu.

“Tunashukuru Serikali ya Mkoa, kwasababu mara ya mwisho tulipokutana, tulitoa changamoto zetu na mojawapo ilikuwa ni umeme na maji, tunashukuru changamoto hizi zimefanyiwa kazi na katika hili nawapongeza DUWASA na TANESCO kwa kuboresha huduma hizi za muhimu kwetu", amesema Mauna

Matangazo

  • Tangazo na Orodha ya Walioitwa kwenye mafunzo ya Wasimamizi, Wasimamizi wasaidizi na Makarani Jimbo la Dodoma Mjini na Mtumba October 23, 2025
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.