• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Njia Mpya za Daladala Dodoma Mjini

29 March 2018

Kuanzia leo Alhamisi Machi 29, 2018 njia za Daladala Manispaa ya Dodoma zimebadilika kwa kurefushwa pamoja na kufuta Standi ya Jamatini, badala yake zitatakiwa kuishia Nanenane standi mpya ya mabasi.

Ofisa Mfawidhi Kanda ya Kati wa Sumatra, Conrad Shiyo amesema. Njia hizi ndefu zimepangwa kwa ushirikiano wa Jeshi la Polisi, Manispaa ya Dodoma, na Chama cha Wamiliki wa Daladala (UWEDO).

UDOM - VEYULA

Katika marekebisho hayo, daladala zinazofanya kazi kati ya UDOM na Veyula zitakuwa zikitoka UDOM zinapita kwa Waziri Mkuu, Posta, Hospitali ya General, Independence, Sango na kupita NBC na kwenda Veyula, na wakati wa kurudi kutoka Veyula zitapita Paradise, Nyerere, Posta hadi UDOM.

NALA - BENJAMIN MKAPA HOSPITAL

Daladala kutoka Nala zitapita Sango, Hospitali ya Mkoa, Posta hadi hospitali ya Benjamin Mkapa na kurudi kupitia Posta, Hospitali ya Mkoa, Independence hadi Nala.

VEYULA - NANENANE

Kutakuwa na njia ya Veyula hadi Nanenane, daladala zake zitapita Paradise, Nyerere, CBE hadi Nanenane na kurudi kupitia CBE. Carnical, General, Independence, Sango, NBC na kurudi Veyula.

CHANG'OMBE - NANENANE

Daladala kutoka Chang'ombe hadi Nanenane, zitapita Paradise, Nyerere, CBE hadi Nanenane na wakati wa kurudi zitapita CBE, Carnival, General Hospital, Independence, Sango na kurudi Chang'ombe.

ST. GEMA - SWASWA/NANENANE

Magari kutoka St Gema hadi Swaswa au Nanenane, yatapita Paradise, Nyerere, CBE hadi Swaswa na Nanenane na kutoka huko Nanenane zitapita CBE, Carnival, General, Independence, Sango, NBC na kurudi St Gema.

NKUHUNGU - NANENANE

Daladala za Nkuhungu zitapita vituo vya Sango, General, CBE, hadi Nanenane na kurudi kwa kupitia kituo cha CBE, Carnival, Independence, Sango hadi Nkuhungu.

MKONZE - NANENANE

Daladala kutoka Mkonze zitapita vituo vya Kikuyu, Majengo, General, CBE hadi Nanenane na wakati wa kurudi zitapita CBE, Carnival, General, Majengo, Kikuyu hadi Mkonze.

SWASWA, UZUNGUNI NA NANENANE

Daladala za kutoka Swaswa, Uzunguni na Nanenane na kurudi zitapitia vituo vya CBE, Carnival kisha njia ya uelekeo wa baabara ya Sabasaba hadi D-Center (Makole) kisha kutokea mbele ya CBE na kurudi yalikotokea.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.