• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira

MIAKA 23 BILA MWALIMU J.K. NYERERE, NAIKUMBUKA KAULI YA 'MTU NI AFYA'

Na Abdallah Mahia

Naikumbuka kaulimbiu ya ‘Mtu ni Afya’. Mtu ni Afya ya Mwalimu Nyerere ni kielelezo juu ya Afya Mazingira. Serikali ya awamu ya kwanza ilijali sana shughuli za Afya Mazingira sambamba na usemi wa ‘kinga ni bora kuliko tiba’.

Watanzania wanapokumbuka Mwalimu Nyerere pia wanaikumbuka sana kaulimbiu ya ‘Mtu ni Afya’ ambayo iliimbwa sana magazetini, redioni, sehemu za mikusanyiko ikiwemo mikutano mbalimbali.

‘Mtu ni Afya’ ilisaidia kuwahamasisha wananchi juu ya kujikinga na adui maradhi. Hii ni kauli iliyoletwa na Serikali ya Mwalimu J.K. Nyerere mwaka 1973-78. Katika kuendeleza kumuenzi Mwalimu Julius K. Nyerere zaidi tujikumbushe mikakati iliyowekwa katika njia ya ‘Mtu ni Afya’ tuuige na tuweke katika njia tulizonazo.

Tuendeleze kuongeza jitihada kubwa kwa kuhakikisha tunazuia kuongezeka kwa magonjwa yanayoweza kuzuilika kwa kufanya usafi wa mazingira pamoja na kuijali kinga na kuona umuhimu wake kwani tukifanya hivyo tunapunguza umasikini tukizingatia kwamba gharama za matibabu ni kubwa kuliko gharama za kinga.

Tukumbuke kuweka Mipango yetu ya bajeti ya kutosha katika shughuli za kujikinga ili kuenzi sera tukuka ya ‘Mtu ni Afya’ iliyotokana na fikra sahihi za Mwalimu Julius K. Nyerere.

‘Mtu ni Afya’ ililenga kutoa ujumbe maalum kwa jamii kwamba bila mazingira safi binadamu hawezi kupata afya bora, na anakuwa muhanga wa maradhi yote hatari. Tunapomkumbuka Mwalimu Julius K. Nyerere tunaikumbuka kauli mbiu ya ‘Mtu ni Afya,’ jali usafi wa mazingira kwani ‘Mtu ni Afya’.

Abdallah Mahia ni Afisa Afya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Makala za nyuma:

  • Umuhimu wa Unawaji Mikono kwa Maji Safi Tiririka na Sabuni
  • Kunawa Mikono kwa Sabuni na Maji Safi Iwe ni Tabia (12 Juni, 2022
  • Maandimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2022 (04 Juni, 2022)


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.