• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hombolo Makulu

KATA YA HOMBOLO MAKULU

Kata ya Hombolo - Makulu ni miongoni mwa kata mpya iliyoanzishwa mwaka 2015 na kufanya kata arobaini ya moja (41) zinazounda Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Kata ya hii ina vijiji viwili vyenye vitongoji 13.

Vijiji: Hombolo Makulu na Zepisa

Vitongoji Kijiji cha Hombolo Makulu

  1. Mission
  2. Nyika
  3. Kati
  4. Kangalima
  5. Mayeto
  6. Msisi
  7. Kinyami
  8. Mgonang'olongo
  9. Maseya

Vitongoji Kijiji cha Zepisa

  1. Ngaegae
  2. Mayeto
  3. Sokoine
  4. Chanzaga

MIPAKA: Kusini inapakana na kata ya Hombolo Bwawani na Ipala, Kaskazini inapakana na kata ya Mkondai (Bahi), Mashariki inapakana na kata ya Hombolo Bwawani na Magharibi kata ya Chihanga.

IDADI YA WATU: Kata ya Hombolo Makulu ina Kaya 3,138 zenye jumla ya watu 13,113 wakiwamo wanaume 6,193 na wanawake 6,603 na jumla ya wazee 317.

UONGOZI

Diwani: Mhe. Jacob LEMANYA    

Mwenyekiti wa Kijiji


NA
 JINA
KIJIJI

1.
  Jackson Nhonya
Hombolo Makulu

2.
  Jastin Chilingo
Zepisa




Wenyeviti wa Vitongoji (Hombolo Makulu): 

  • Yoram Magomba - Mission
  • Samson Masune - Nyika
  • Wililam Lukuna - Kati
  • Habel Madobanga - Kangalima
  • Japhet Malima - Mayeto
  • Daud Kodi - Msisi
  • Andrea Karengi - Kinyami
  • Ayubu Tutana - Mgonang'olongo
  • Joseph Nongana - Maseya

Wenyeviti wa Vitongoji (Hombolo Makulu):

  • Amoni Jume - Ngaegae
  • Mussa Rashid - Mayeto
  • Stanley Dede - Sokoine
  • Daud Kamunya - Chanzaga

Watendaji waliopo:

  • Afisa Mtendaji Kata
  • Mratibu Elimu Kata
  • VEO Hombolo Makulu
  • VEO Zepisa
  • Afisa Kilimo Zepisa
  • Afisa Mifugo Kata

Baraza la Kata: Lipo na linafanya kazi vizuri.

HUDUMA YA AFYA: Kuna zahanati mbili ambazo ni 1. Zahanati ya Vikonje na 2. Zahanati ya Mtumba

HUDUMA YA ELIMU:

Shule za Msingi


NA
         SHULE
WAVULANA
WASICHANA
JUMLA

1.
     Hombolo Makulu
  458
  492
   950

2.
     Maseya
  227
  199
   426

3.
     Msisi
  224
  212
   436

4.
     Zepisa
  369
  537
   906


Jumla:
1,278
1,440
2,718


MIFUGO: Idadi 

Ng'ombe
Mbuzi
Kondoo
Kuku
Nguruwe
Mbwa
Punda
Sungura
Paka
Bata
6,149
6,812
1,887
8,531
167
393
261
35
127
302


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.