• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kibali cha Kusafiri Nje ya Nchi (eSafari)

Serikali imeweka Mfumo wa Utoaji Vibali vya kusafiria nje ya Nchi kwa njia ya Mtandao ili kurahisisha na kuongeza ufanisi katika kushughulikia maombi ya Vibali.

Kipengele cha dharura kimewekwa kwa ajili ya safari za dharura tu ili kukidhi maombi ya wagonjwa pamoja na mialiko/safari za kiserikali za dharura. Hivyo, waombaji wanapaswa kutuma maombi yao siku 14 kabla ya safari zao za kawaida ikiwa ni muda wa chini kabisa.

Ili kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi, mtumishi wa Jiji la Dodoma anatakiwa kuwasiliana na Afisa TEHAMA wa Jiji ili asajiriwe kwanza kwenye Mfumo (eSafari) ndipo apate nafasi ya kuingia kwenye mfumo na kujaza fomu ya maombi. Inaweza kuwa ni maombi ya kawaida ama ya dharura kutegemeana na uhitaji.

Kwa msaada zaidi wasiliana na Afisa TEHAMA ye yote wa Jiji la Dodoma.


MAELEZO YA AWALI KWA MWOMBAJI WA KIBALI CHA KUSAFIRI
MUHIMU:

  • Maombi yaletwe siku kumi na nne (14) kabla ya safari ikiwa ni muda wa chini kabisa.
  • Kumbukumbu za kuthibitisha umuhimu wa safari hiyo ziambatanishwe (e.g. barua ya wito wa mkutano/masomo n.k).
  • Nauli, Posho na matumizi mengine yawekwe kwa fedha za Tanzania. Kama hakuna gharama yoyote, sehemu ya gharama ijazwe sifuri(0).
  • Watumishi wanaopaswa kuomba vibali vya safari za nje kwa kutumia Mfumo huu ni wale tu wanaopewa ruhusa za safari na Katibu Mkuu Kiongozi. 
  • Watumishi wa Serikali/Umma ambao maombi yao hayaidhinishwi na Katibu Mkuu Kiongozi wanapaswa kuomba vibali vyao nje ya Mfumo huu katika mamlaka husika mfano; Rais, Waziri Mkuu, n.k.


Kusoma Mwongozo wa Mtumiaji wa Bofya hapa: MWONGOZO WA MFUMO WA VIBALI VYA KUSAFIRI (eSafari)




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.