• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kujua rangi ya paa/mabati kwa kata

MATUMIZI YA RANGI ZA MAPAA YA MAJENGO KATIKA  KUBORESHA MUONEKANO WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA.

UTANGULIZI:

Halmashauri ya Jiji la Dodoma  inaendelea kuboresha mandhari ya mji ili kufikia malengo ya kuufanya mkoa wa Dodoma hasa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma  kuwa mji wa kisasa unaoendana na miji ya kimataifa  kuwa Makao makuu ya nchi.

Jiji likiwa ndio msimamizi mkuu wa Mipango miji na uboreshaji wake,  linawajibika kuwafanya wananchi na taasisi zote kufuata mipango hiyo ili kukamilisha lengo la Dodoma kuwa mji wa kimataifa katika shughuli za kiserikali na kibiashara.

Mpango wa kupaka rangi mapaa ya majengo ni moja ya mikakati katika kuboresha muonekano wa jiji, itakayosaidia  kupendezesha mji na kupata utofauti wa kipekee kwa maeneo husika.


MABORESHO YATAKAYOTUMIKA KATIKA RANGI YA KUPAUA AU KUPAKWA.

Mpango huu utahusisha kata zote 41 za Jiji la Dodoma ambapo matuminzi   ya rangi zitakazotumika ni kama ifuatavyo;

•    BLUU MPAUKO/BAHARI (LIGHT BLUE)

•    KIJANI MPAUKO

•    KIJANI ILIYOIVA (DEEP GREEN)

•    KAHAWIA (BROWN/CHOCOLATE)

•    NYEKUNDU MPAUKO (KAROTI)

Madhumuni ya mpango huu ni kuboresha muonekano na kuleta utambuzi wa kimaeneo na mvuto katika muonekano wa mitaa na kata zake zote.

Hivyo, matumizi haya ni kwa kata zote 41 kulingana  na rangi husika ya kupaulia au kupakwa.  Mpango huu utafanyika katika maeneo yote ambayo aidha vibali vya ujenzi vimeshatolewa au kwa maeneo ambayo hayana vibali vya ujenzi.

Kwa pamoja, mapaa ya majengo ya watu na taasisi zote ndani ya Jiji la Dodoma zitawajibika kuboresha muonekano huu. Serikali za kata na Mitaa husika kwa pamoja watashiriki katika mpango huu kwenye kubadilisha muonekano wa mapaa yao kama rangi ya kata husika ilivyopendekezwa.

Aidha katika kuboresha muonekano wa maeneo yote ambayo bado hayajatolewa vibali vya ujenzi, kutakuwepo na ongezeko la masharti ya  ujenzi kwa waombaji  juu  ya aina ya rangi ya paa la jengo.

Bofya hapa kuona rangi kwa kila kata: RANGI ZA PAA KWA KILA KATA


Matangazo

  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Miaka miwili ya Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan March 19, 2023
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Maboresho makubwa sekta ya Afya Dodoma

    March 23, 2023
  • Miradi ya Mapato ya ndani yaanza kutoa matunda

    March 23, 2023
  • Agizo la Rais kuhusu Machinga latimia Dodoma

    March 22, 2023
  • Upatikanaji dawa, vifaa tiba waimarika

    March 21, 2023
  • Angalia zote

Video

Bwawa la Mtera kuhudumia Dodoma
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.