• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wafugaji waaswa kufuga kwa kuzingatia uwezo wa malisho ili kupata tija

Imewekwa tarehe: August 15th, 2025

Na. Hellen M. Minja

Habari – DODOMA RS

Mwenyekiti wa Baraza la kumshauri Rais kuhusu masuala ya Chakula na Kilimo nchini Tanzania ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda, amewaasa wafugaji kufuga kwa kuzingatia uwezo wa malisho ili kupata tija ya ufugaji ikiwa ni pamoja na kupata maziwa na mazao mengine ya ufugaji.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti huyo alipokua akifungua Mkutano wa Wadau wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Kanda ya Kati uliofanyika Agosti 13, 2025 katika ukumbi wa Hoteli ya Morena Jijini Dodoma ambapo mbali na ufugaji wenye kuzingatia eneo la malisho, amesema Tanzania ina eneo la hekari Milioni 44 kwa ajili ya kilimo na kwenye eneo hilo ni 15% ndio inafaa kwa kilimo.

“Fuga kulingana na eneo la malisho ili uweze kupata Ng’ombe wenye sifa na wanaosimamiwa vizuri. Tuna hekta zenye kufaa kwa kilimo Milioni 44 katika eneo hilo lote, eneo la ardhi linalolimwa ni 15% na Sekta za kilimo, Uvuvi na Ufugaji zimechangia kutoa ajira kwa wananchi asilimia 65 mpaka 70”. Mhe. Pinda

Aidha, Katibu wa Baraza hilo Dr. Florence Turuka amesema katika Mikutano ya viongozi wa nchi za Afrika, Serikali ziliazimia kuwa Afrika itumie fursa zilizopo katika kilimo na ichangie kulisha watu Bilioni 9 watakao kuwepo hapa ulimwenguni ifikapo mwaka 2050 ambapo Waafrika watakua wamefikia takribani watu Bilioni 2.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amempongeza Mhe. Rais kupitia Wizara ya kilimo kwa kuwekeza kwenye miundombinu ya kilimo na kuufanya Mkoa huu kuwa sehemu ya uzalishaji wa chakula nchini kwani ameanzisha miradi ya uchimbaji visima kwenye kila Wilaya ili kuwezesha kilimo cha umwagiliaji.

Akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi ya mwaka 2024, Katibu Tawala Msaidizi Seksheni za Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Dodoma Bi. Aziza Mumba amesema sekta za Mazao, Mifugo, Uvuvi na Misitu zinachangia takribani 39% ya Pato la Mkoa na kusababisha soko kuongezeka hivyo pia uzalishaji unatakiwa kuongezeka.

Baraza la kumshauri Rais kuhusu masuala ya Chakula na Kilimo lilianzishwa Machi 14, 2023 na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kuimarisha usalama wa chakul

Matangazo

  • REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST (EoI) (SELECTION OF AN INDIVIDUAL CONSULTANT September 19, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR RECRUITMENT OF URBAN TRANSPORT PLANNING SPECIALIST FOR THE CITY COUNCIL OF DODOMA (CCD) September 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • RC. Senyamule atoa wito kwa wadau wa ushirika kushiriki uchaguzi mkuu

    September 22, 2025
  • Wakurugenzi watakiwa kutenga maeneo yatakayowawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kilimo

    September 21, 2025
  • Wakurugenzi watakiwa kutenga maeneo yatakayowawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kilimo

    September 21, 2025
  • Halmashauri za Dodoma zatakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato

    September 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.