• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maadhimisho ya Wiki ya kupinga magonjwa yasiyoambukiza - Dodoma

Imewekwa tarehe: November 8th, 2019

WANANCHI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na viunga vyake wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika wiki ya maadhimisho ya kitaifa ya kupinga magonjwa yasiyoambukiza na kushiriki michezo mbalimbali katika uwanja wa michezo wa Jamhuri jijini hapa.

Kauli hiyo imetolewa na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Dkt. Gatete Mahava alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake leo.

Dkt. Mahava alisema kuwa maadhimisho ya wiki ya kupinga magonjwa yasiyo ya kuambukiza itaanza tarehe 9-14 Novemba, 2019 katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma. “Napenda kutumia nafasi hii kuwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi katika uwanja wa michezo wa Jamhuri na kushiriki katika michezo mbalimbali itakayokuwa ikichezwa katika uwanja huo” alisema Dkt Mahava. Aidha, aliitaja michezo itakayochezwa katika maadhimisho hayo kuwa ni mpira wa miguu, mpira wa kikapu, riadha, kuvuta kamba na netiboli. Michezo hiyo itakuwa ikichezwa kila siku, aliongeza.

Akiongelea magonjwa yasiyoamkubiza, alisema kuwa magonjwa hayo, yanatokana na mfumo wa maisha ya mwanadamu unaomfanya kutoushughulisha mwili. Mfumo huo unasababisha mwili kukosa mazoezi na hatimae kupelekea magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile kisukari, shinikizo la damu, moyo, kiharusi, saratani, pumu, sikoseli, afy ya akili, macho, kinywa na meno na ajali. Uzinduzi huu utajumuisha shughuli mbalimbali kama vile tamasha la michezo, kongamano la kisayansi, maonesho, huduma za uchunguzi wa afya na elimu ya afya.  

Maadhimisho hayo yataongozwa na kaulimbiu isemayo ‘Tutembee pamoja katika kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza’.

Maadhimisho hayo yanayofanyika katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma yanaratibiwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.