• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wadau Halmashauri ya Jiji la Dodoma chachu ya mabadiliko ya Miradi

Imewekwa tarehe: December 18th, 2024


Na. Coletha Charles, DODOMA

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewatembeza Madiwani wa Halmashauri za Wilaya ya Igunga na Makete katika miradi ya maendeleo kwa lengo la kujifunza utekelezaji wa Miradi, ukusanyaji wa mapato, usimamizi wa taka ngumu na uwekezaji.

Akizungumza wakati wa kwenda kuzungukia Miradi hiyo, Afisa Mipango Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Rozalia Hhari, alitoa ufafanuzi wa Miradi iliyotekelezwa kwa fedha za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mapato ya ndani ya Halmashauri, nguvu za wananchi na fedha za wahisani.

Alisema kuwa kunamiradi ambayo imekamilika na mingine bado inatekelezwa kama ujenzi wa Uwanja wa Ndege Masalato, Majengo ya Wizara, Treni ya Mwendo Kasi (SGR) na Barabara ya Mzunguko, ambapo kwa mwaka huu wanatengemea kukusanya mapato ya ndani shilingi Bilioni 62, lakini mwaka jana walikusanya Bilioni 58.

 “Miradi tuliyokamilisha na inafanya kazi kwa sasa ni Kituo cha Mabasi kimegharimu thamani ya shilingi Bilioni 24.03, Soko la Wazi la Machinga shilingi Bilioni 9.5, Chinangali Park shilingi Bilioni 2.9, Nala roli park shilingi Bilioni 5.9, Shule ya English Medium Msangalale Milioni 750, Dodoma City Hotel Bilioni 11.9, Soko Kuu la Job Ndugai Shilingi Bilioni 14 na Mtumba Complex (ukumbi wa Mikutano) mradi ambao unatekelezwa kwa awamu tatu na gharama yake ni shilingi Bilioni 59, ila kwa awamu ya kwanza ishakamilikia ni Bilioni 18” alisema Hhari.

 Naye, Diwani wa Kata ya nkinga Jimbo la Manonga Wilaya ya Igunga, Samwel Masanja, alisema kuwa wamejifunza mambo mengi katika Halmashuri ya Jiji la Dodoma na wataenda kuyafanyia kazi kwa uthubutu mkubwa katika wilaya yao waweze kukusanya mapato na kujenga miradi.

“Yale tuliyojifunza leo tumeona ni fursa katika kujifunza namna ya kukusanya mapato na kuwekeza katika miradi ya maendeleo. Lakini tumeshea mambo mbalimbali na wenzetu wa Makete na wao wanakusanya vipi mapato na namna ya kuendesha Halmashauri  ambapo tuki jumlisha yale tuliojifunza hapa yatakuwa na msaada” alisema Masanja.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.