• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Afisa Elimu Rweyemamu ataja siri mafaniko UMISSETA

Imewekwa tarehe: June 11th, 2021

Na Nemes Michael, DODOMA

AFISA Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu amesema kuwa ushindi katika michezo hutengenezwa kwa umoja, mshikamano, utayari na muelekeo chanya kwa kila mshiriki pamoja na kudumisha nidhamu.

Mwalimu Rweyemamu ameyasema hayo leo katika viwanja vya Shule ya Sekondari Dodoma wakati wa hitimisho la michezo ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) ngazi ya Mkoa Jijini hapa, ulioenda sambamba na kaulimbiu isemayo "Michezo, sanaa na taaluma kwa maendeleo ya uchumi wa viwanda."

“Sasa tunamaliza mashindano na kuvunja timu zetu zilizokuwa katika mashindano kwa kutengeneza timu moja ya watoto 100 waliotoka katika Halmashauri zote nane, Naamini kwa jinsi tulivyojiandaa ushindi lazima tuupate” aliongeza Mwalimu Rweyemamu.

Naye, Afisa Michezo na Utamaduni wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Peter Ititi amesema kwa mwaka 2021 michezo ya ngazi ya sekondari UMISSETA imekuwa tofauti na miaka iliyopita na amewapongeza watoto wa kike kwa kuleta ushindani na kuamua kushiriki katika mashindano hayo kwa kiwango kubwa.

“Kumekuwa na hamasa kubwa kwa mwaka huu, watoto wanaonesha kiasi gani wameelewa kuwa michezo ina maana gani kwa upande wao, nidhamu waliyonayo ni nzuri pia ni njia sahihi katika kufika wanapotaka lakini juhudi zinahitajika katika yote” alisema Ititi.

Kwa upande wake, Gervas Fred Mwanafunzi wa Shule ya sekondari St. Peter Clever amabaye ni kapteni wa mpira wa kikapu Halmashauri ya Jiji la Dodoma amesema kuwa mafanikio waliyoyapata kwa kuchukua vikombe 9 kati ya 12 vilivyokuwemo ni juhudu za ushirikiano kuanzia waalimu mpaka kufikia kwao kwa kuamua kufanya maamuzi sahihi  kwa pamoja.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.