• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ajali ya Precision Air Serikali yatoka maelekezo

Imewekwa tarehe: November 14th, 2022

MKURUGENZI wa Idara ya Habari – Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ameongea na waandishi wa habari kuhusu maelekezo yaliyotolewa kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri kufuatia ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision Air kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari – MAELEZO jijini Dodoma.

Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 14, 2022 jijini Dodoma nakupokea taarifa ya awali ya ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision Air iliyotokea mnamo Novemba 6, 2022 wakati wa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba na hatua zilizochukuliwa baada ya ajali.

Ajali hii ilihusisha ndege aina ya ATR 42-500 yenye namba PW 494 iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kupitia Bukoba ikiwa na watu 43 ambapo 39 walikuwa ni abiria na 4 walikuwa ni wafanyakazi wa ndege yaani Rubani na msaidizi wake na Maafisa Usalama ndani ya ndege 2 (Air Hostess). Ajali hii ilisababisha vifo vya watu 19 na majeruhi 26 ambao wote wametibiwa na kuruhusiwa kurudi nyumbani.

Baraza la Mawaziri limewaelekeza Wataalam wa ndani kushirikiana na Wataalam kutoka nje ya nchi katika kufanya uchunguzi kuhusiana na ajali hii ili kupata chanzo cha ajali na kutoa mapendekezo ya hatua zinazotakiwa kuchulikuliwa mara baada ya ajali kutokea.

Maelekezo ya Baraza yametolewa kwa kuzingatia kwamba nchi yetu imesaini mikataba mbalimbali ya Kimataifa ambayo inasimamia usafiri wa anga na hatua zinazopaswa kuchukuliwa mara baada ya ajali ya anga kutokea.

Vilevile, Baraza hilo limeelekeza vitengo vyote vinavyohusika na kukabiliana na majanga viimarishwe kwa namna mbalimbali ambazo zitatuwezesha sisi kama nchi kuongeza uwezo zaidi ya tulioano sasa katika kukabililana na majanga pale yanapotokea.

Kwa mujibu wa taratibu za kukabiliana na ajali za ndege, timu ya uchunguzi wa ajali na matukio ya ndege inapaswa kutoa taarifa ya awali (Accident Bulletin) ndani ya siku 14. Itafuatiwa na taarifa ya awali (Preliminary Report) itakayotolewa ndani ya siku 30 na hatimaye taarifa kamili (Final Report) itakayotolewa ndani ya miezi 12 baada ya ajali kutokea.

Aidha, Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika wananchi watajulishwa. Pia,Baraza linawashukuru na kuwapongeza wananchi na wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.