• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Asante Jiji Dodoma, vijana wapaza sauti

Imewekwa tarehe: January 22nd, 2020

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepongezwa na vijana wajasiriamali wa kikundi cha Youth Entrepreneurship jijini hapo kwa kuwapatia mikopo iliyowawesha kujikwamua kiuchumi na kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana hasa katika kuelekea uchumi wa viwanda kama sera ya awamu ya tano isemavyo.

Shukrani hizo zimetolewa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), walipotembelea katika mradi unaotekelezwa na kikundi hicho wa kutengeneza majiko ya mkaa unaoendeshwa na vijana hao katika Mtaa wa Nzuguni “B”, Kata ya Nzuguni jijini hapo.

Mwenyekiti wa kikundi hicho, Mariam Mohamed alisema kuwa kikundi kilianzishwa kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serikali za kutatua tatizo la ajira kwa wote upande wa wasomi na ambao hawajasoma ili kuwawezesha katika kuwapatia kipato.

“Tunaishukuru Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kutuwezesha kupata mtaji, kikundi chetu kilikopeshwa shilingi 4,000,000 awamu ya kwanza mwaka 2018 na tukamaliza marejesho kwa wakati. Pia awamu ya pili tumepata shilingi milioni 20, ambazo zimetusaidia kupata malighafi tunazozihitaji katika kukamilisha shughuli zetu.

“Kikundi chetu kinajishughulisha na utengenezaji wa majiko banifu yanayotumia mkaa kidogo sana, na tulianzisha kikundi tukiwa vijana 7 hivi sasa tumefika 11, wanawake 2 na wanaume 9. Tulianza na mtaji wa shilingi 800,000 na sasa tuna mtaji wa shilingi 30,000,000 ambapo kutokana na faida iliyopatikana kila mwanakikundi amepatiwa shilingi milioni mbili, laki saba, kumi na sita elfu na mia tatu thelathini na tano,” aliongeza Mohamed.

Mbali na mafanikio hayo ya kikundi hicho, mwenyekiti huyo pia alileza changamoto wanazokumbana nazo na kuiomba serikali iweze kuwapatisa usaidizi katika kuzitatua changamoto hizo.

“Tunajitahidi sana katika kuhakikisha tunafanya kazi kwa bidii lakini tunakabiliwa na changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo ya kikundi hiki. Tunakabiliwa na ukosefu wa eneo la kufanyia kazi, barabara mbovu kwani ina mashimo mengi pia miundombinu sio mizuri, mfano daraja likijaa maji gari hazipiti.

“Tunaomba tufikiriwe katika haya kwani kikundi chetu ni moja kati ya kikundi kinachotoa hamasa kwa vijana wengi ili kujiunga katika ufundi wa kutengeneza majiko ili kujipatia kipato binafsi, familia na kuisaidia jamii kiujumla kujikwamua kiuchumi,” alisisitiza Mwenyekiti huyo.  

Kikundi cha Youth Entrepreneurship kilianzishwa na vijana wajasiriamali wa kitanzania ambao walinia katika kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za mikono, zinazowasaidia kiuchumi na kuwawezeshe kujiajiri wenyewe na kuwa kikundi cha mfano kwa wajasiriamali wengine kote nchini.  



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.