• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Bajeti ya matengenezo na ukarabati wa barabara na madaraja kwa mkoa wa Dodoma yaongezeka

Imewekwa tarehe: May 15th, 2024

BAJETI ya matengenezo na ukarabati wa barabara na madaraja kwa mkoa wa Dodoma imeongezeka kutoka Shilingi bilioni 12.7 mwaka 2020/2021 hadi kufikia Shilingi bilioni 66. 2 mwaka 2023/24.

Hayo yameelezwa na Meneja wa TARURA mkoa wa Dodoma, Mhandisi Edward Lemelo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya ofisi yake katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa serikali ya awamu ya sita.

Mhandisi Lemelo amesema ongezeko hilo la bajeti kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 hadi 2023/2024 ambalo limeongezeka kwa asilimia 412.77 tangu Rais Samia alipoingia madarakani 2021 limesaidia kuimarika kwa ubora wa mtandao wa barabara za lami kutoka Km 171.29 hadi Km. 309.71.

“Barabara za changarawe zimeongezeka kutoka Km 1,258.65 hadi Km 1,827.5 madaraja 19, maboksi kalavati 45 na mitaro yenye urefu wa mita 73,822.24 imejengwa, taa za barabarani 470 zimesimikwa, barabara mpya zenye urefu wa Km 544.60 zimefunguliwa ambazo hazikuwepo kabisa”, alisema.

Amesema kuwa mtandao wa barabara zenye hali nzuri zimeongezeka kutoka asilimia 10, Februari 2021 hadi kufikia asilimia 34.70 Machi 2024. Vilevile katika kipindi hicho cha miaka mitatu ya serikali ya awamu ya sita TARURA mkoa wa Dodoma imeongeza vitendea kazi pamoja na kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi.

“Magari nane mapya yamenunuliwa na kusambazwa katika ofisi za Mameneja wa wilaya na mkoa, ununuzi wa mitambo ya ujenzi wa barabara ikiwemo ‘Motor Grader’, ‘Roller’, ‘Bulldozer’ na ‘Excuvator’ na ‘Loadbed’ vimenunuliwa na kukabidhiwa kwa Meneja wa wilaya ya Chamwino ununuzi wa vitendea kazi ambavyo vimerahisha utendaji kazi na kuongeza ufanisi wa kazi za Wakala” alisisitiza.

Mhandisi Lemelo ameongeza kuwa Wakala umetekeleza miradi ya kielelezo ikiwemo ujenzi wa barabara za lami katika Mji wa Serikali Mtumba Km 12.6, ujenzi wa barabara ya lami Mwanga-Kisasa-Medeli Km 10.7, ujenzi wa barabara ya lami Swaswa-Mpamaa-Arusha Road Jct Km 8.2, ujenzi wa barabara ya lami ya mzunguko Mlimwa Km 1.55, ujenzi wa barabara katika Soko la Machinga Km 0.6 na ujenzi wa barabara ya kuzunguka makazi ya Waziri Mkuu Km 2.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.