• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Barabara ya Dodoma Makulu – Ntyuka kuboresha maisha ya wananchi

Imewekwa tarehe: April 21st, 2025

Na. Abdul Juma, DODOMA MAKULU

Ujenzi wa Barabara ya kilometa 5.2 inayounganisha Kata ya Dodoma Makulu na Ntyuka kutatua changamoto ya usafi kwa kata hizo na kufanya maisha ya wananchi kuwa bora.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Msangalale Magharibi Kata ya Dodoma Makulu, Leonard Ndama alipokuwa akiongelea mchango wa Barabara ya lami yenye urefu wa kilometa 5.2 katika mafanikio ya serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha miaka minne.

Alisema kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha miaka minne ilianza ujenzi wa barabara yenye kiwango cha lami iliyokuwa ni changamoto kwa wakazi wa Kata ya Dodoma Makulu walipotaka kwenda Ntyuka kufuata huduma za kijamii. Alisema kuwa walikuwa wakitumia muda mrefu njiani na kuchelewa shughuli zao jambo lililosababisha uchumi wao kuwa chini.

“Tumepata mradi huu wa barabara inayotoka Dodoma Makulu kwenda Ntyuka ambayo imeleta manufaa ya kibiashara hata katika usafiri kwasababu wananchi wamekuwa wakitumia barabara hii. Naomba wananchi wa Dodoma Makulu tuitunze miundombinu hii tuliyojengewa na serikali ili tuweze kurithisha vizazi vyetu vijavyo” alisema Ndama.

Nae, mwananchi wa Kata ya Dodoma Makulu, Nazarius Moshi anayejishughulisha na biashara ya usafirishaji maarufu kama bodaboda, alieleza namna barabara hiyo itakavyoleta faida kwa watumiaji wa barabara hiyo itakapo kamilika hasa wafanya biashara ya usafirishaji (bodaboda). “Barabara hii ikikamilika itakuwa na faida kwetu kwasababu kwanza, itaturahisishia katika shughuli zetu za usafirishaji wa abiria kutoka Kata ya Ntyuka, zamani tulikuwa tunateseka sana na ubovu wa barabara hii. Pili, itarahisisha wananchi kuzifikia huduma za kijamii nje ya kata hii kwa urahisi” alisema Moshi.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.