• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

Imewekwa tarehe: April 23rd, 2025

Na. Abdul Juma, MIYUJI

Diwani wa Kata ya Miyuji, Beatrice Ngerangera amesema ujenzi wa Barabara ya kilometa sita ya kutoka Miyuji hadi Ipagala umesaidia kufikisha huduma za kijamii kwa wananchi na kuharakisha usafiri katika mazingira bora na salama.

Kauli hiyo aliiotoa alipokuwa akiwaelezea waandishi wa habari mafanikio ya serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha miaka minne katika Kata ya Miyuji.

Ngerangera alisema kuwa kilio kikubwa cha wananchi wa Miyuji ilikuwa ni barabara. “Nitumie fursa hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika utawala wake, Kata ya Miyuji imepata mambo mengi mazuri hasa ujenzi wa Barabara. Hapo zamani ilikuwa ni vigumu kupita kwenye barabara hii ila hivi sasa tunapita kwa amani. Mradi wa barabara hii yenye urefu wa kilomita sita, inaunaganisha kati ya Kata ya Miyuji na Ipagala. Hivyo, umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 6.7. Awali wananchi walikuwa wakipata taabu wakati wa mvua. Mimi, najisikia vizuri, kipekee nimpongeze mama, rais wa wanyonge kwakuwa amesikia kilio chetu niseme Mungu ambariki sana”.

Akiongelea faida za barabara hiyo alizitaja kuwa ni kuondoa changamoto ya kina mama kujifungulia njiani. “Hakuna kuharibika kwa vyombo vya usafiri, pia ajali zimepungia, zamani watu walikuwa wanafia njiani kwasababu ya ubovu na ufinyu wa barabara wakiwa wanafuata huduma ya afya katika hospitali ya St. Gemma” alisema.

Nae Mwenyekiti wa Mtaa wa Miyuji Proper, Hawardi Mbogela aliipongeza serikali ya awamu ya sita na Mbunge, Anthony Mavunde kwa kuweza kutimiza ahadi ya kuwajengea barabara yenye kiwango cha lami. “Rais wetu amekuwa akisikiliza sana kilio cha wananchi wake, sisi kama viongozi wa kata hii tulikaa pamoja na diwani tukawasilisha suala hili kwenye uongozi wa juu, hatimae limetekelezwa kwa asilimia miamoja. Hivyo, nimpongeze Rais mama Samia na mbunge wetu Mavunde bila kusahau Diwani wa Miyuji, Beatrice” alisema Mbogela.

Kwa namana nyingine wakazi wa Kata ya Miyuji waliweza kueleza ni kwa namna gani wamefurahi kwa kutekelezwa kwa mradi huo wa ujenzi wa barabara katika kata yao kwasababu mradi huo umekuwa fursa katika kata yao.

Akizungumza mkazi wa Miyuji Proper, Maria Juma aliishukuru serikali kwa kusikiliza malalamiko yao kwa kuwajengea barabara iliyowaunganisha na Kata ya Ipagala. “Kwa kweli tunamshukuru Mungu kwaajili ya barabara hii. Pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa sababu barabara hii imetunufaisha sisi wananchi wa Miyuji. Kabla ya barabara hii hali ilikuwa mbaya hapa katika kata yetu kulikuwa na makorongo hata wananchi wengine walifia njiani na kujifungulia wakiwa wanaenda katika Hospital ya St. Gemma kupata huduma,” alisema Juma.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.