• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baraza la Madiwani Jiji la Dodoma lamshukuru Rais, Dkt. Samia kutoa Bil 1.6 miradi ya BOOST

Imewekwa tarehe: May 10th, 2023

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma limemshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi cha shilingi 1,654,000,000/= kwa ajili ya mradi wa  kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji kwa shule za awali na msingi Tanzania Bara (BOOST), ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Sekta ya Elimu kwa miaka mitano 2021/2022 hadi 2025/2026.

Shukrani hizo zilitolewa na Mwenyekiti, Jamal Ngalya katika Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kuwasilisha taarifa za utekelezaji za robo ya tatu (Januari-Machi) 2023 kwenye Kata uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Ngalya ambaye ni Naibu Meya wa Jiji la Dodoma alisema kuwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi 1,654,000,000/= kwaajili ya mradi wa BOOST ili kuchochea maendeleo ya sekta ya elimu. “Sisi waheshimiwa madiwani tusiposimama kumshukuru huyu Mama tutakuwa tunatenda dhambi kubwa sana. Jiji la Dodoma tumepewa shilingi 1,654,000,000/= kwaajili ya mradi BOOST fedha zilizogawanywa katika kata nne ambazo ni Msalato, Hombolo Makulu, Ipagala na Mnadani”.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Hombolo Makulu, CP. Gideon Nkana alisema “…ni ukweli usiopingika Rais wetu amefanya mambo makubwa sana katika nyanja mbalimbali kwa muda mfupi alioingia madarakani. Tunampongeza sana kwa juhudi anazozifanya kwaajili yakuliletea taifa hili maendeleo hasa katika sekta ya elimu. Niwaombe waheshimiwa madiwani wenzangu, tukazisimamie fedha hizi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa ili zilete matokeo chanya kwa taifa letu”.

Naye Diwani wa Kata ya Majengo, Shufaa Ibrahim alimshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha alizotoa kwaajili ya kuboresha ufundishaji na ujifunzaji. “Kwakweli Mama anatusafisha sisi wanawake wenzake, tunamshukuru na kumpongeza sana mwanamke mwenzetu ambaye anaonesha msimamo wake. Sisi kama viongozi wanawake tupo nyuma yake katika kuhakikisha fedha hizi alizozitoa zinatumika ipasavyo. Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu ampe afya njema, hekima na busara na sisi viongozi tuwe na afya njema ili tuweze kuwaongoza watu waliotupa dhamana ya uongozi” alisema Ibrahim.

Mradi wa BOOST ulianzishwa na Serikali chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia ukisimamiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI ukilenga kuimarisha sekta ya elimu ya msingi nchini.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.