• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baraza la Madiwani lamshukuru Rais Samia

Imewekwa tarehe: November 8th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma linamshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miradi mingi ya maendeleo inayotekelezwa katika jiji hilo kwa kusimamia ubora na thamani ya fedha.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe katika mkutano wa baraza hilo wa kuwasilisha taarifa za maendeleo kutoka kwenye kata uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya jiji hilo.

Prof. Mwamfupe ambae ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma alisema kuwa halmashauri yake inaweka msisitizo katika kupitia utekelezaji wa miradi ya maendeleo. “Sisi Jiji la Dodoma tunawiwa kumshukuru Mheshimiwa Rais, kwa sababu ni wanufaika wakubwa wa miradi inayotoka serikali kuu. Shukrani zetu kubwa zaidi ni usimamizi wa miradi, kuhakikisha fedha zinatumika ipasavyo. Mahitaji ya nchi ni makubwa sana, mahitaji ya Dodoma kama mkoa, mahitaji ya Dodoma kama halmashauri ni makubwa sana lakini sisi kwa hadhi yetu kama Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambalo ni makao makuu ya nchi tunajikuta tumepewa uzito mkubwa sana. Namna pekee ya kumshukuru Mheshimiwa Rais ni kusimamia utekelezaji wa miradi hiyo” alisema Prof. Mwamfupe.

Akiongelea mambo ya kuzingatia katika utekelezaji wa miradi hiyo alisema kuwa ni kujikita katika ubora na matumizi ya fedha. “Katika utekelezaji wa miradi hii mambo makubwa mawili yanazingatiwa. Matumizi sahihi ya rasilimali fedha na jambo la pili ambalo linaoana kabisa na jambo la kwanza ni ubora wa miradi yetu tunayoitekeleza. Haisaidii kuwa na matumizi sahihi ilimradi vitabu vime ‘balance’, lazima ‘balance’ nyingine itokane kwenye thamani ya mradi, kuhakikisha kweli miradi imekuwa ya kiwango cha juu kinachotegemewa” alisisitiza Prof. Mwamfupe.

Aidha, alisema kuwa halmashauri yake haitasita kuchukua hatua kwa uzembe utakaofanyika katika kusimamia utekelezaji wa miradi. “Hatutasita kufika mahali kuona kama hakuna dalili nzuri ya thamani ya mradi huo, tutachukuliana hatua ili kuhakikisha tunatumia fedha vizuri kama ilivyopangwa” aliongeza.

Katika hatua nyingine, Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma lilishuhudia Diwani, Julius Chimombo akila kiapo cha udiwani kufuatia kushinda katika uchanguzi mdogo wa udiwani uliofanyika katika kata ya Nala hivi karibuni.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.