• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baraza la Madiwani 'lamwaga' sifa mabilioni ya Rais Samia

Imewekwa tarehe: October 28th, 2021

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma ‘limemwaga’ sifa nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Halmashauri hiyo zaidi ya shilingi bilioni 2.97 za maendeleo kupitia Mpango wa Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19.

Wakizungumza katika kikao cha Baraza hilo kilichofanyika Oktoba 27, 2021 kwenye ukumbi wa mikutano wa Jiji hilo, baadhi ya Madiwani waliochangia taarifa ya mapokezi ya fedha hizo walisema ni njambo la kihistoria kupata mgao wa fedha nyingi kama hizo kutoka Serikali Kuu.

Diwani wa Kata ya Kilimani Neema Mwaluko alisema katika kumbukukumbu zake Halmashauri hiyo haijawahi kupokea fedha nyingi za maendeleo kwa wakati mmoja kama ilivyotokea sasa huku akitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dodoma kumuombea Mhe. Rais Samia ili azidi kufanya mambo makubwa zaidi katika kukuza uchumi wa nchi.

Akichangia hoja hiyo, diwani wa Kata ya Chang’ombe Mhe. Bakari Fundikira alisema Mhe. Rais Samia amekuwa akiipa kipaumbele cha aina yake Halmashauri hiyo ya Makao Makao ya Nchi kwa muda mrefu ukiwemo ujenzi wa miradi mikubwa kama uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato, barabara za lami za mzunguko na Mji wa Serikali, na sasa ujenzi wa madarasa takribani 143 ya shule za sekondari yenye gharama ya shilingi bilioni 2.86 jambo ambalo halijawahi kutokea katika awamu zote za utawala wa nchi.

Naye diwani wa Kata ya Zuzu Mhe. Awadhi Abdallah alisema, alichokifanya Mhe. Rais Samia ni jambo la kihistoria na la kukumbukwa daima kwani kupata madarasa 143 kwa wakati mmoja haijawahi kutokea, huku akitoa wito kwa watendaji wa jiji la Dodoma kuhakikisha wanatekeleza miradi hiyo ndani ya muda alioelekeza Mhe. Rais Samia.

Katika mpango huo, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepatiwa kiasi hicho cha fedha cha zaidi ya shilingi bilioni 2.97 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na kampeni ya chanjo dhidi ya UVIKO-19.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.