• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baraza la wafanyakazi Jiji la Dodoma lazinduliwa

Imewekwa tarehe: January 28th, 2022

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imezindua Baraza Lake la wafanyakazi, huku likitakiwa kutoa ushirikiano kati yake na mwajiri, ili kuleta ufanisi kwenye sehemu ya kazi ikiwemo kuondokana na malalamiko yanayoweza kusababisha kuwepo kwa migogoro mahali pa kazi.

Aidha, viongozi wa baraza hilo wameshauriwa kutatua changamoto na kutetea masilahi ya wafanyakazi ili waweze kufanya kazi kwa kujituma na kuiwezesha halmashauri kuwa na tija na ufanisi zaidi.

Ushauri huo umetolewa na Afisa kazi wa Mkoa wa Dodoma Neema Dickson alipokuwa akizungumza baada ya kulizindua baraza kwenye mkutano uliokuwa na ajenda ya kuwachangua Katibu na Naibu katibu wa baraza hilo la Halmashauri ya Jiji la Dodoma lililofanyika leo tarehe 29/01/2022 katika Ukumbu Mkuu wa Jiji la Dodoma.

Dickson akizungumza kwenye baraza hilo amelitaka kuwa na ushirikiano kati ya mwajiri, viongozi na wafanyakazi ili kuepuka migogoro isiyo kuwa na tija inayokwamisha utendaji wa kazi ambayo imekuwa ikijitokeza baina ya pande zote.

“Ninyi viongozi ambao mpo kwenye baraza la wafanyakazi wa Jiji ninawaomba muwe sehemu ya kutatua changamoto ikiwemo na kutetea maslahi ya watumishi pamoja na mikataba inayotolewa na waajiri” alisema.

Afisa huyo ameyataka mabaraza ya wafanyakazi kuwa na wabinifu wa kuanzisha miradi kwa ili kuongeza mapato.

Kwa upande wa Afisa Utumishi Mkuu wa Jiji la Dodoma, Gerald Ruzika amelitaka baraza la wafanyakazi wa Jiji kufanya kazi na mwajiri wao kwa kushirikiana ili kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa shughuli za kila siku halmashauri hiyo.

Alisema ushirikiano, upendo na kujituma kwenye utendaji wa kazi ndiyo njia mojawapo itakayoweza kufanikisha kuboresha maslahi kwa wafanyakazi, hivyo amewataka kuwa kitu kimoja kwenye utendaji wa majukumu yao sehemu ya kazi.

Naye Katibu mpya wa Baraza la wafanyakazi wa halmashauri ya jiji Dodoma aliyechaguliwa katika mkutano huo, Denis Gondwe, alisema kuwa pamoja ya majukumu mengine waliyonayo, wanapaswa kuhakikisha maslahi ya watumishi yanalindwa ikiwapo kuthibiti migogoro baina yao na mwajiri kwa kuhakikisha kuwa inatatuliwa katika meza ya majadiliano na kupata ufumbuzi sahihi.

Gondwe alisema kuwa baraza la wafanyakazi la Jiji litahakikisha inafanya kazi kwa kuwatetea ili haki ya kimsingi ya mfanyakazi iweze kupatikana huku pia kwa upande wake mtumishi akizalisha kwa malengo ya kuiletea halmashauri maendeleo.

Imeandikwa na Peter Mkwavila DODOMA

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.