• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Bilioni 3.4 kulipa fidia za ardhi Dodoma

Imewekwa tarehe: January 8th, 2024

SERIKALI ya awamu ya sita chini ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Bilioni 3.4 kwa dhumuni la kulipa fidia wananchi wa Jiji la Dodoma ambao ardhi zao zilitwaliwa kwa matumizi mbalimbali ya Serikali.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa zoezi la ulipaji wa fidia ya ardhi iliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbabala iliyopo jijini hapo.

Senyamule alisema kuwa Serikali imedhamiria kuhakikisha wananchi wake wanaishi kwa amani na utulivu, kwa kuhakikisha wanatatua kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo kero za ardhi.

“Leo nakabidhi mfano wa hundi yenye jumla ya shilingi 3,068,705,727.81 zitakazolipwa kwa wananchi 314, malipo hayo yatafanyika mara baada ya uhakiki wa uhalali wa fidia, timu ya uhakiki tayari imeshaundwa na imeshaanza kufanya kazi yake.Katika uhakiki wa awamu ya kwanza jumla ya wananchi 127 wamekidhi vigezo na wanalipwa jumla ya madai ya shilingi 1,735,901,727.81.

Kwaupande wake Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj. Jabir Shekimweri amewasihi wananchi ambao hawajajitokeza kuhakikiwa viwanja vyao, wajitokeza ili waweze kulipwa madai yao. “Niwaombe wananchi wote ambao wanamadai ya fidia ya ardhi wajitokeze ili kufanyiwa uhakiki wa uhalali wa madai yao, wale waliokidhi vigezo waweze kulipwa fidia kwa mujibu wa makubaliano yao na Serikali. Lengo letu ni kuhakikisha wananchi wa Wilaya ya Dodoma hawalii kutokana na changamoto ya ardhi, na hiyo ndio dira ya serikali yetu kuhakikisha inatatua changamoto za wananchi” alisema Alhaj Shekimweri.

Miongoni mwa kata zinazonufaika na fidia hizo ni pamoja na Iyumbu, Chigongwe, Mbalawala, Makole, Zuzu, Kikombe, Mtumba, Chahwa, Miyuji na Mlimwa C ambazo zote zinapatikana ndani ya Wilaya ya Dodoma.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.