• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

"Binti tambua thamani yako, timiza malengo yako" - DOYODO

Imewekwa tarehe: September 1st, 2019

Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoani Dodoma (Dodoma Youth Development Organization - DOYODO) kupitia Mradi wa  Uraghibishi wa Magauni Manne imewakutanisha walimu wa Shule za msingi na sekondari na Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya kata wa Jiji la Dodoma na kufanya kikao kazi.

Lengo la kikao kazi hicho kilichofanyia tarehe 29/08/2019 katika ukumbi wa mikutano wa Jiji la Dodoma ilikuwa ni kuweka mikakati madhubuti ya kukabiliana na tatizo la mimba za utotoni. Kwa msisitizo kuwa Dodoma bila mimba za utotoni inawezekana kila mmoja akichukua na kutekeleza jukumu lake.

Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Afisa Afya na Katibu wa Afya wa Jiji ambao walipata fursa ya kuzungumza na wajumbe hao juu ya mipango na mbinu za kupambana na mimba za utotoni kuhakikisha mimba kwa wanafunzi mashuleni zinakomeshwa.

Naye  Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Jiji la Dodoma Sharifa Nabalang'anya aliyekuwa miongoni mwa watoa mada aliipongeza taasisi ya DOYODO na kusema "kazi yenu ni nzuri na ni sehemu ya kazi zangu, hivyo tutaendelea kushirikiana kwa kila hali". Alisema jamii nzima inatakiwa kushiriki katika zoezi hili litakalookoa vijana wengi wa kike wanaorubuniwa na watu waharibifu katika jamii yetu.

Aidha mmoja wa wanachama wa DOYODO Adam Cosmas, alimshukuru Afisa Maendeleo ya Jamii wa Jiji Bi. Nabalang'anya na kusema "...hakika tunajivunia ushirikiano unaotupatia vijana wa DOYODO"

Kauli mbiu ya mkakati huu wa kumkomboa  kijana wa kike ni "Binti tambua thamani yako, timiza malengo yako"

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Jiji la Dodoma Sharifa Nabalang'anya akiongea na wadau wa mkakati wa kutokomeza mimba za utotoni (hawapo pichani). Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoani Dodoma (DOYODO) Rajabu Nnunga.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.