• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

BoT yaja na mfumo bora wa uwekezaji taasisi, mashirika

Imewekwa tarehe: March 5th, 2020

Benki Kuu ya Tanzania (BOT), imesema imeandaa mfumo bora wa kuziwezesha taasisi binafsi na mashirika ya umma kuwekeza kwa faida badala ya kupata hasara katika shughuli za biashara na uwekezaji kwenye jamii.

Akizungumza wakati wa semina ya waandishi wa habari za uchumi na biashara, Meneja wa Idara ya Masoko na Fedha wa BoT, Tawi la Arusha, Lameck Kakulu, alisema kuwekeza kuna faida kubwa kwa kuwa mwekezaji ana fursa ya kujipatia faida kuliko hasara.

Alisema kiwango cha riba kwenye dhamana za muda mfupi kilishuka kutoka asilimia 8.5 Agosti hadi asilimia 5.5 Desemba mwaka 2019.

Hata hivyo, alisema matokeo ya utekelezaji wa sera bora za fedha iliongeza ujuzi wa fedha kwenye benki kutoka wastani wa asilimia saba hadi nane.

Aidha, alisema benki za biashara ziliongoza ushiriki kwenye uwekezaji wa dhamana ya serikali kwa asilimia 67 na kwa upande wa mifuko ya pensheni, dhamana ilipanda kutoka asilimia nane hadi asilimia 20.

Pia alisema ushiriki wa wawekezaji binafsi dhamana ilipanda kutoka asilimia mbili hadi kufikia asilimia sita.

Aidha, alisema uwekezaji katika soko la upili zimeendelea kukua na dhamana ya muda mrefu imefikia thamani ya Sh. bilioni 815.70 na ziliuzwa na kununuliwa, ukilinganisha na kipindi kilichopita thamani hiyo ilikuwa Sh. bilioni 203.99.

Alisema ongezeko hilo lilitokana na kurejea sokoni kwa mifuko ya pensheni pamoja na kuongezeka kwa uelewa kwa wawekezaji wa mashirika na taasisi binafsi.

Kakulu alisema kiwango halisi cha dhamana za muda mfupi na muda mrefu kilichopatikana ni Sh. bilioni 2,572.52 sawa na asilimia 103, wakati kiwango kilichokusudiwa kiliongezeka kwa asilimia 42, ukilinganisha na mwaka wa 2018/19.

Kiwango kilichopatikana ni Sh. bilioni 1,192.69 na kiasi cha Sh. bilioni 1,379.38 zimetokana na dhamana za muda mfupi na mrefu.

Chanzo: www.ippmedia.com



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.