• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya Siasa yaridhishwa na ujenzi Bunge Sekondari

Imewekwa tarehe: February 14th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KAMATI ya Siasa ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma imeridhishwa na kazi inayofanywa ya utekelezaji wa Ilani ya chama hicho wilayani Dodoma na kuelekeza fedha za serikali kusimamiwa vizuri.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Dodoma, Charles Mamba alipoongoza Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Dodoma kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa madarasa mawili, mabweni mawili, viti na meza 60 katika Shule ya Sekondari ya wasichana Bunge iliyopo Kata ya Kikombo jijini Dodoma. 

Mamba alishauri miti kupandwa na kutunzwa katika shule hiyo ili kutengeneza mazingira bora na yakuvutia. “Shule hii ni yetu, tuisimamie vizuri ili wanafunzi wanaokuja kusoma hapa wajue na kuthamini mchango wetu katika maendeleo ya shule. Lazima msimamie vizuri fedha hizi za serikali. Wote tunatambua kuwa kuwa mama yetu Mheshimiwa Rais anafanya kazi nzuri, tuisimamie huku katika maeneo yetu ili matunda yaonekane. Mheshimiwa DC Shekimweri kazi zako nazikubali, ni nzuri, hongera sana” alisema Mamba.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri alielekeza mabweni mawili katika shule hiyo yakamilike kwa wakati ili wanafunzi wayatumie na kuagiza kuimarishwa kwa usalama katika mabweni hayo. Aidha, aliagiza kichomea taka kiwe karibu na mabweni ya wasichana.

Awali Afisa Elimu Awali na Msingi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Prisca Myalla alisema kuwa serikali kupitia Mradi wa kuboresha Shule za Sekondari (SEQUIP), ilitoa shilingi 244,200,000 kwa ajili ya ujenzi wa mabweni mawili, vyumba viwili vya madarasa na kununua viti na meza 60. “Tunaishukuru sana serikali ya awamu ya sita ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa hatua hiyo muhimu ya kuongeza fursa kwa wasichana kusoma masomo ya sayansi kwa utulivu” alisema Mwalimu Myalla.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.