• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Bunge la Jumuiya ya Madola Afrika kuhamia Jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: July 13th, 2019

BUNGE la Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (Common Wealth Parliamentary Association in Africa-CPA) linatarajia kujenga makao makuu yake katika Jiji la Dodoma.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uwekezaji ya Bunge la Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika, Justin Muturi alipoongoza kamati ya uwekezaji ya Bunge hilo kutembelea Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuangalia fursa za uwekezaji na kuzungumza na waandishi wa habari jana.

Muturi ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kenya alisema kuwa CPA inapanga kujenga jengo la makao makuu yake na kuhamia Dodoma. Alisema kuwa kamati yake imetembelea na kuridhishwa na eneo yatakapojengwa makao makuu ya jumuiya hiyo katika ukanda maalum wa uwekezaji Njedengwa Jijini Dodoma.

Muturi alisema kuwa, pamoja na ujenzi wa makao makuu hayo, CPA inapanga kujenga hoteli ya kifahari yenye hadhi ya nyota tano katika Jiji la Dodoma.

“Niishukuru Serikali na wananchi wa Tanzania kwani muda mrefu hapo zamani walitupatia sehemu ya kujenga ofisi ya CPA katika nchi hii, hata wale ambao hatukuwepo wakati ule tunaendelea kuwa na shukrani nyingi” alisema Muturi.

Alisema kuwa hoteli hiyo ya kifahari inatarajiwa kugharimu dola za kimarekami milioni 30.

Mwenyekiti huyo alielezea kufurahishwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuupanga mji katika ubora unaovutia.

Kwa upande wake, Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe aliwakaribisha kuwekeza Dodoma. “Mnakaribishwa kama taasisi kuja kuwekeza katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kama mtu binafsi pia mnakaribishwa kuwekeza hapa Dodoma…nataka kuwahakikishia kuwa Dodoma tuna ardhi ya kutosha kwa ajili ya uwekezaji” alisema Prof. Mwamfupe.

Vilevile, aliwakaribisha wabunge wa Jumuiya ya Madola (Afrika) kufanya mkutano wa mwaka Jijini hapa.

Prof. Mwamfupe aliwataarifu wabunge hao kuwa, Halmashauri yake inautaratibu wa kupanga maeneo, kuyapima, na kuyapelekea huduma ili wananchi na wawekezaji waweze kuwekeza na kuendeleza maeneo hayo bila vikwazo.

Ujenzi wa hoteli hiyo ya kifahari inatarajiwa kugharimu dola za kimarekani milioni 30 hadi itakapokamilika, wakati matarajio ya ujenzi kuanza ni mwaka 2019/ 2020.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.