• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Bunge laridhia sehemu ya mapori 2 kuwa hifadhi

Imewekwa tarehe: September 11th, 2019

BUNGE limeridhia azimio la kubadilisha hadhi ya sehemu ya Pori la Akiba la Ugalla lililopo mkoani Tabora kuwa Hifadhi ya Taifa ya Mto Ugalla.

Pia limeridhia azimio la kubadilisha hadhi ya sehemu ya Pori la Akiba la Kigosi kuwa Hifadhi ya Taifa ya Kigosi. Pori hilo linapatikana katika mikoa ya Kigoma, Tabora na Shinyanga likiwa na ukubwa wa kilometa za mraba 7,000.

Maazimio hayo mawili yaliwasilishwa bungeni jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla, ambaye aliliambia Bunge kuwa serikali imefikia uamuzi huo ili kuimarisha na kuendeleza uhifadhi wa maliasili.

Alisema lengo hilo pia linalenga kuhifadhi wanyamapori, mimea na mazalia na makuzio ya samaki na viumbe wengine wa kwenye maji na kuongeza Pato la Taifa, kwa msingi kuwa ubadilishaji hadhi wa sehemu ya mapori hayo kutasababisha hifadhi hizo kuwa kivutio cha utalii.

Kuhusu ubadilishaji hadhi ya sehemu ya Pori la Akiba la Ugalla yenye ukubwa wa kilomita za mraba 3,865 kati ya kilometa za mraba 5,000 za pori zima kuwa Hifadhi ya Taifa ya Mto Ugalla, Dk Kigwangalla alisema hatua hiyo itaimarisha uhifadhi wa bioanuwai.

Alizitaja bioanuai hizo kuwa ni za wanyamapori, mimea na mazalia na makuzi ya samaki na hivyo kuongeza utalii wa ndani, kukuza uchumi wa jamii inayozunguka hifadhi, utafiti na kutoa elimu ya vitendo kwa wanafunzi na wananchi watakaotembelea hifadhi hiyo.

Kuhusu Pori la Akiba la Kigosi kuwa Hifadhi ya Taifa ya Kigosi, alisema hatua hiyo itaimarisha ulinzi na kujenga mazingira bora kwa ajili ya kuendeleza utalii katika ukanda wa Magharibi.

Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa Wizara ya Maliasili na Utalii, Catherine Ruge, alisema kambi hiyo inashauri serikali kuangalia upya uwapo wa mamlaka tatu za serikali zinazofanya shughuli za uhifadhi zinazofanana na hivyo kuliongezea Taifa mzigo.

Chanzo: Tovuti rasmi ya Habarileo (www.habarileo.co.tz)



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.