• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

CCM Mkoa yawataka Madiwani kufanya mikutano kuwaeleza wananchi utekelezaji Miradi ya Maendeleo

Imewekwa tarehe: November 30th, 2023

Na. Dennis Gondwe, MIYUJI

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma kimewataka madiwani kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kata.

Agizo hilo lilitolewa na Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma, Pili Mbaga baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Miyuji B iliyopo Kata ya Miyuji jijini Dodoma.

Mbaga alisema “niendelee kuwasisitiza viongozi wa CCM lakini na viongozi wa kuchaguliwa madiwani na wenyeviti wa mitaa wafanye kazi ya kwenda kuwahabarisha wananchi kwenye mikutano ili wafahamu Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewajengea shule kama hii na miradi mingine mingi ya maendeleo katika maeneo tofauti. Nimpongeze Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini anaendelea kufanya kazi kubwa ya kuwasogezea huduma wananchi”.

Aidha, aliwashukuru wajumbe wa kamati ya siasa kwa kuendelea kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025. “Mnafanya kazi nzuri ya kuisimamia serikali. Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma pia amekuwa msaada mkubwa kufuatilia mradi huu lakini hakuishia hapa amekuwa msimamizi wa miradi yote ya Jiji la Dodoma. Nimshukuru na kumpongeza sana Mkuu wa Shule, Gerson Maige kwa kazi nzuri aliyoifanya amekuja kusimamia shule jirani. Maige ni mkuu wa shule ambayo ipo jirani kwa sababu kata hii haikuwa na shule ya sekondari, tunakushukuru sana kwa majengo mazuri na usimamizi mzuri” alisema Mbaga.

Wakati huohuo, alilipongeza Jiji la Dodoma kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo. “Jiji mpo vizuri, miradi yenu ni bora kabisa na imara kabisa. Ninaimani itatunzwa vizuri ili vizazi vijavyo vitakuja kuitumia miundombinu hii na kusimulia kuwa kazi nzuri ilifanywa na watangulizi” aliongeza Mbaga.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.