• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

CCM Wilaya yatoa ushauri kwa kamati za maendeleo za kata

Imewekwa tarehe: August 27th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma imeshauri Kamati za Maendeleo za Kata kuwaalika viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi ya kata katika vikao vya maendeleo ili kupata majibu ya hoja zinazoulizwa na wananchi.

Ushauri huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Dodoma, Meja Mst. Johnick Risasi wakati alipoongoza kamati hiyo kutembelea kituo cha kuzalisha Maji Mzakwe.

Meja Mst. Risasi alisema kuwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Dodoma (DUWASA) imefanya kazi kubwa ya kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji. DUWASA imejenga na kuongeza miundombinu ya upatikanaji wa maji na kuwasogezea wananchi huduma hiyo, aliongeza. “CCM inaagiza watu wote wanaopitiwa na miundombinu ya Maji wanufaike na huduma ya Maji kama watu wa maeneo mengine. Hii ni sera ya Maji. Watu hao wakinufaika na huduma hiyo watashiriki kikamilifu katika ulinzi wa miundombinu hiyo” alisema Meja Mst. Risasi.

Katika kuhakikisha wananchi wanakuwa na taarifa sahihi za upatikanaji wa huduma ya Maji, Mwenyekiti huyo ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma alishauri uongozi wa kata kuwa wanawaalika viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi ya kata katika vikao vya Kamati za Maendeleo za Kata. Ushiriki wa viongozi hao utawawezesha kuwa na taarifa sahihi za utekelezaji wa miradi ya Maji na usambazaji wa huduma ya Maji unaotekelezwa katika maeneo yao. Taarifa hizo zitawasaidia kutoa ufafanuzi kwa wananchi yanapoibuka maswali juu ya huduma ya Maji, aliongeza.   

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa DUWASA, Sebastian Warioba alisema kuwa mamlaka yake imekuwa ikishirikishwa katika baadhi ya vikao vya kata na mitaa kwenda kuelezea miradi inayotekelezwa na hali ya upatikanaji huduma ya Maji. Alisema kuwa DUWASA wapo tayari wakati wowote kushiriki katika vikao hivyo ili kutoa elimu na ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya shughuli wanazotekeleza Dodoma mjini.

Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Dodoma, Meja Mst. Johnick Risasi (wa kwanza kulia) na wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Dodoma wakisikiliza taarifa ya mradi wa maji kutoka kwa Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa DUWASA, Sebastian Warioba (mwanye Kaunda suti).

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.