• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkurugenzi Mafuru amshukuru JPM, mtangulizi wake Kunambi

Imewekwa tarehe: August 21st, 2020

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kuwahudumia wananchi wa Makao Makuu ya nchi.

Kauli hiyo aliitoa muda mfupi baada ya kuapishwa rasmi kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma tukio lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma leo.

”Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, nianze kwa kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Magufuli kwa kuniamini na kunipa hii nafasi kubwa na ngumu kwelikweli lakini naamini amenipa nafasi hii baada ya ushauri wa vyombo vingi na yeye mwenyewe kuona kwamba huyu kijana anaweza akakimbia katika kasi anayoitaka. Na mimi kupitia vyombo vya habari niseme nitakwenda kwa kasi anayoitaka” alisema Mkurugenzi Mafuru kwa kujiamini.

Alisema kuwa malezi yanayoonekana yametokea kwa viongozi waliomtangulia akimtaja Mkurugenzi aliyepita Godwin Kunambi kuwa ni mfano wa kuigwa. “Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi huyu amepewa kipawa cha kutengeneza watu. ‘CMT’ yangu ni mashahidi kwamba wote tulikuja na tabia zetu lakini ametutengeneza, ilikuwa ngumu mwanzoni kufanya nae kazi lakini ametuelekeza hadi tukaenda pamoja. Kuna maneno alikuwa anayasema kwenye vikao ambayo tumeanza kuyaona, kwamba ninyi wote ninaofanya nanyi kazi ni muhimu na mtakuwa viongozi, yameanza kuonekana” alisema Mkurugenzi Mafuru.

Zoezi la kuapishwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma lilifanywa na Mkuu wa Mkoa na kushuhudiwa na Yasmin Bakari aliyemwakilisha Kamishna wa Maadili kutoka Sektretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Kessy Maduka, mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya, Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na waandishi wa habari.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.