• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

CDF waipiga tafu Mpwapwa vifaa vya kujikinga na Corona

Imewekwa tarehe: August 14th, 2020

Katika kuunga Mkono juhudi za Serikali za kuendelea kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19), Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto (Children's Dignity Forum - CDF) limekabidhi vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.

Vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tisa na laki sita vitapelekwa kwa Afisa Elimu Msingi na Sekondari kwa ajili ya kugawa katika shule ambazo ziko katika sehemu ya mradi wa shirika hilo, Ofisi ya Mganga Mkuu wilayani humo (DMO), Ofisi ya Mkuu wa Wilaya (DAS), Dawati la jinsia na watoto Polisi na Mahakama ya Wilaya.

Akikabidhi vifaa hivyo kwa Afisa Tarafa wilayani humo Albert Mwalyego ambaye amepokea vifaa kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Jabir Shekimweri, Meneja Utekelezaji wa miradi ya CDF Evance Rwamuhuru amesema vifaa hivyo ni kwa ajili ya kupambana na janga la Corona wilayani humo na ni muendelezo wa kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na ugonjwa huo.

Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya mkuu wa wilaya Mpwapwa, Albert Mwalyego Afisa Tarafa wilayani humo amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada huo kwani utawasaidia kwa kiasi kikubwa huku akisema kuwa ni muhimu watu wakaendelea kuchukua tahadhari kubwa kama ambavyo wataalamu wa afya wamekuwa wakishauri.

Kwa upande wa Mganga Mkuu Wilayani humo (DMO) Dkt. Archard Rwezahura amesema licha ya kuwa hali ni nzuri katika nchi, lakini ni vizuri zaidi tahadhari ikaendelea kuchukuliwa huku akilishukuru shirika hilo kwa kutoa vifaa hivyo kwani vitawasaidia katika shughuli zao.

Akizungumzia kuhusu msaada huo, Afisa Elimu Sekondari bwana Nelson Milanzi amesema vifaa hivyo vitawasaidia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kujikinga na ugonjwa huo.

Shule za Sekondari ambazo zitanufaika na vifaa hivyo ni Kibakwe, Pwaga, Berege, Kimagai, Igovu na Mazae ilhali shule za Msingi ni Idunda, Kibakwe, Berege, Makulu, Pwaga, Munguyu, Lupeta, Bumila na Makutupa.

Vifaa vilivyotolewa ni Kipima joto (Thermo Scanner), Barakoa, Vitakasa mikono, Ndoo, Glavu, Maski, Aproni za matibabu, Spiriti, unga wa Chlorine, kikinga uso, Vifaa vya Kufanyia upasuaji na matanki ya maji yenye ujazo wa lita 500.

Meneja utekelezaji wa miradi ya Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto Evance Rwamhuru (kushoto) akimkabidhi ndoo ya kunawia Afisa Tarafa wa Wilaya ya Mpwapwa Albert Mwalyego (kulia).


Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Archad Rwezahura (wa pili kulia) akielekeza namna ya uvaaji gauni la upasuaji wakati wa makabidhiano ya vifaa vya kujikinga na Corona vilivyotolewa na CDF.


Baadhi ya vifaa vilivyotolewa na CDF kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.