• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

CHABATA, Green Waste Pro, Dodoma Jiji waungana kusafisha mitaa

Imewekwa tarehe: October 7th, 2020

Chama cha Waendesha Baiskeli Tanzania (CHABATA) na kampuni ya Green Waste Pro kwa kushirikiana na Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamefanya usafi katika baadhi ya maeneo Jijini hapa ikiwa ni katika harakati za kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Akizungumza na mwandishi wetu kiongozi wa CHABATA Mkoa wa Dodoma Simba Alei, amesema kuwa wameamua kufanya usafi ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa vitendo kwa sababu Mwalimu alikua anapenda na kuthamini mazingira.

“Ili uendeshe Baiskeli ni lazima uwe na afya bora na huwezi kuwa na afya bora kama mazingira yanayokuzunguka ni machafu, hivyo tumeamua kufanya usafi ili kuhamasisha wananchi wengine kufanya hivyo ili kutunza afya zao” Alisema Alei.

Kwa upande wake Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Ally Mfinaga amesema kuwa wamefurahi kupata ugeni huo ambao umeongeza hamasa kwa wadau wengine na wananchi kujitokeza kwa wingi kufanya usafi na kufanya Jiji hilo kuwa katika hali nzuri na ya kupendeza.

Mfinanga aliongeza kuwa wao kama Halmashauri wamekua na desturi ya kufanya usafi katika mitaa na barabara ndani ya Jiji hilo ili kuliweka Jiji katika hali ya usafi jambo ambalo linasaidia kuepukana na magonjwa ya mlipuko.

“Tuna timu ya watu ambayo inafanya kazi masaa yote tukishirikiana na kampuni ya usafi ya Green Waste ambao wamekua wadau wakubwa wa kuhakikisha Jiji hili linakua safi wakati wote, ndio maana maeoneo mengi ya Jiji letu ni masafi kutokana na mikakati tuliyojiwekea kwa kuzingatia kaulimbiu yetu ya Mita tano usafi wangu” Aliongea Mfinanga.

Naye Mwakilishi wa Kampuni ya Kandarasi ya Usafi Jijini Dodoma ya Green Waste Stefano Damas amekishukuru CHABATA kwa uamuzi wao wa kuweka kambi Dodoma na kushiriki katika shuguli za usafi kwani kwa kufanya hivyo wameonesha mfano mzuri kwa vyama vingine vya michezo nchini kushiriki katika shuguli za kimaendelao.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.