• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Changamoto isiwe kisingizio katika utekelezaji wa majukumu yenu – Dkt. Msonde

Imewekwa tarehe: December 30th, 2023

Na. OR-TAMISEMI

SERIKALI imewataka Watendaji wa Sekta ya Elimu nchini kuacha visingizio wanapotekeleza majukumu yao bali watumie changamoto hizo kama fursa ya kuwaletea wananchi maendeleo na kuisaidia Serikali.

Kauli hiyo ya Serikali imetolewa mapema  na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) Dkt. Charles Msonde wakati akifungua kikao kazi cha nusu mwaka cha watekelezaji wa Mradi wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (GPE LANES II) kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Manispaa ya Morogoro.

Dkt. Msonde amesema kwa mtendaji yeyote changamoto lazima zitokee katika utekelezaji wa majukumu yake na hapo ndipo anatakiwa kuzitatua kwa wakati kwani fedha za miradi alizopewa zinatakiwa kutumika kwa wakati ili kutatua changamoto za kielimu zinazoikabili jamii.

“tuhakikishe kila mtu kwenye eneo lake anatimiza wajibu wake, simamieni vile mlivyopewa lakini ni lazima mshauri vizuri kitu kitokee” amesisitiza Dkt. Msonde.

Katika hatua nyingine Dkt. Msonde amesema Mradi wa GPE LANES II umefanya kazi kubwa kwa kushirikiana na Serikali na hivyo watendaji wahakikishe fedha zote za miradi zimetumika kabla ya tarehe 15, Januari, 2023.

“ni vizuri kuhakikisha kwamba fedha hizi zinapotolewa na Serikali ambazo ni masharti waliyokubaliana na Benki ya Dunia unatekeleza na kukamilisha miradi kwa mujibu wa masharti waliyoweka, fedha hizi zina deadline (ukomo wa matumizi) tarehe 15 Januari na haitakubalika na haikubaliki fedha yoyote ikafika tarehe 15 Januari” amesisitiza Dkt. Msonde.

Kwa upande wake Michael Ligola Mwenyekiti wa kikao kazi hicho ambaye pia ni Afisa Elimu Mkoa wa Songwe amesema kikao kazi hicho kina lengo la kufanya tathmini ya utekelezaji wa kazi zilizotekelezwa chini ya Programu ya GPE LANES II kwenye elimu ambapo baadhi ya Halmashauri na Taasisi zimefanya vizuri ijapokuwa taasisi chache zilipata changamoto ya utekelezaji wa miradi.

Akitoa neno la shukrani Adam Shimatayo amemshukuru mgeni rasmi kwa kuwatia moyo kuendelea kufanya kazi pamoja na kutokuwa na hofu ya changamoto za elimu

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.