• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Changamoto ya maji safi Hombolo kuwa historia

Imewekwa tarehe: May 10th, 2019

CHANGAMOTO ya upatikanaji wa maji safi katika Kata ya Hombolo nje kidogo ya Jiji la Dodoma inatarajiwa kuwa historia baada ya Halmashauri ya Jiji hilo kusaini mkataba wa mradi wa matengenezo ya miundombinu ya maji kwa fedha za mapato ya ndani.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji hilo Godwin Kunambi jana alipokuwa akitoa maelezo mafupi ya mradi wa matengenezo ya miundombinu ya maji Hombolo Bwawani “A” kwa fedha za mapato ya ndani katika hafla ya utiaji saini mikataba iliyofanyika katika viunga vya Nyerere square jijini hapa.

“Halmashauri ya Jiji la Dodoma tunataka tatizo la maji Hombolo liwe historia ndiyo maana katika bajeti ya mwaka ujao wa Fedha (2019/2020) tumetenga shilingi bilioni 1.3 katika mapato ya ndani” alisema Kunambi.

“Mkataba utakaosainiwa leo wa shilingi milioni 690 unalenga matengenezo ya miundombinu ya maji Hombolo ili kuwahakikishia wananchi uhakika wa huduma ya maji safi” aliongeza Kunambi.

Akizungumzia mradi huo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Selemani Jafo aliutaja mradi huo kuwa unaenda kujibu matatizo ya wakazi wa Hombolo.

Wakati huo huo, Waziri Jafo amempongeza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin kunambi kwa kazi nzuri anayoifanya katika kuwaletea maendeleo wananchi.

“Nakupongeza sana wewe Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, wewe unafanya kazi sana, naomba Mungu asaidie ubaki hapa ili asije akaja mwingine akaharibu mazuri unayoyapanga” alisema Waziri Jafo.

“Dodoma ni Jiji pekee linaloongoza kwa pato ghafi katika Halmashauri zote nchini, kuna Halmashauri nyingine bajeti yake ni shilingi bilioni 33, mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma yanaweza kuendesha Halmashauri nyingine bila Serikali Kuu kuongeza fedha za uendeshaji” aliongeza Waziri Jafo.

Mkataba wa mradi wa matengenezo ya miundombinu ya maji safi katika Kata ya Hombolo Bwawani ‘A’ utatekelezwa kwa fedha za mapato ya ndani kwa kipindi cha miezi mitano kwa gharama ya shilingi milioni 690.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.