• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'CHF Iliyoboreshwa' bima ya afya, rahisi na gharama nafuu

Imewekwa tarehe: December 16th, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kusajili wananchama 258 katika siku yake ya pili ya zoezi maalum la uhamasishaji wananchi kujiunga na Bima ya Afya iliyoboreshwa CHF.

Akitoa taarifa ya zoezi hilo lililofanyika katika kata ya viwandani jana, mratibu wa CHF iliyoboreshwa Patrick Sebyiga alisema kuwa zoezi limekuwa na mafanikio.

Sebyiga alisema kuwa katika kata ya Viwandani, jumla ya kaya 43 zilisajiliwa. Kaya hizo zinawatu 258. Alisema kuwa hayo ni mafanikio makubwa katika uandikishaji wanachama kwa CHF iliyoboreshwa.

Mratibu huyo alisema kuwa katika kuboresha CHF katika vituo vya kutolea huduma na hospitali zote za serikali zimewekwa simu maalum kwa ajili ya kuhudumia wanachama wa CHF iliyoboreshwa kwa ufanisi.

Mhamasishaji wa usajili wanachama wa CHF iliyoboreshwa, Mysarah Maneno alisema kuwa ana wajibu wa kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa kutokana na umuhimu wake. “CHF iliyoboreshwa ni bima rahisi na ya gharama nafuu, huduma ni nzuri pia. Kupitia CHF iliyoboreshwa sehemu yoyote kwenye vituo vya afya na hospitali za serikali nchini unapata huduma ya matibabu”.

Kwa upande wake mkuu wa kaya Frank Edson baada ya kujisajili na CHF iliyoboreshwa aliishukuru serikali kwa uamuzi huo. “CHF iliyoboreshwa inakupa uhakika wa matibabu katika hospitali. Bila CHF iliyoboreshwa ingekuwa usumbufu na gharama kubwa sana za matibabu” alisema Edson. Alitoa wito kwa wananchi ambao hawajajiunga na CHF iliyoboreshwa kujiunga mapema ili kunufaika na bima hiyo.


Wananchi wakipata maelekezo kuhusu CHF Iliyoboreshwa kutoka kwa maafisa wanaohusika na Bima ya Afya ya CHF iliyoboreshwa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.