• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Bunge la Bajeti kuanza kesho, Corona yaleta mabadiliko

Imewekwa tarehe: March 30th, 2020

Mkutano wa 19 wa Bunge la kumi na moja ambao ni mahsusi kwa ajili ya kupitisha Bajeti ya Serikali utaanza Jumanne tarehe 31 Machi 2020 na kuendelea hadi tarehe 30 Juni 2020.

Hayo yamesemwa katika taarifa kwa umma iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa cha Ofisi ya Bunge leo 30 Machi 2020 na kutoa ufafanuzi wa jinsi bunge bunge hilo litakavyoendeshwa.

Kufuatia janga la ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona utaratibu wa uendeshajji wa shughuli za Bunge katika Mkutano huu utakuwa tofauti na ilivyozoeleka. Kwa mujibu wa Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Mb), mabadiliko yafuatayo yatafanyika ikiwa ni hatua za kujikinga na ugonjwa wa Corona wakati wa vikao vya Bunge.

Mosi, uda wa vikao vya Bunge utapunguzwa kutoka saa tisa kwa siku hadi  saa nne ambapo; vikao vitakuw vikifanyika kuanzia saa 8:00 Mchana ahdi saa 12:00 Jioni. Hata hivyo mabadiliko  ya muda hayatahusu kikao cha kwanza ambacho kilishapangwa toka awali kuanza saa tatu.

 Pili, idadi ya Wabunge watakaoingia Bungeni imepunguzwa ambapo katika Mkutano huu, Wabunge  watakaokuwa wanaingia ndani ya Ukumbi  wa Bunge hawatazisdi mia na hamsini (150) kwa wakati mmoja. Wabunge watakaoingia Bungeni ni wafuatao:

•    Mhe. Spika

•    Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni

•    Kiongozi wa Kamba Rasmi ya Upinzani Bungeni

•    Wanadhimu wa kila Chama

•    Mawasili na Manaibu Mawaziri

•    Mwanasheria Mkuu wa Serikali

•    Mawaziri Vivuli na Manaibu wao

•    Wajumbe wa Kamati ya Uongozi

•    Wajumbe wa Tume ya Bunge

•    Kamati ya Bajeti, na

•    Makamu Wenyeviti wa Kamati

Waheshimiwa Wabunge ambao hawataingia ndani ya Ukumbi wa Bunge watafuatilia Shughuli za Bunge kupitia runinga katika Kumbi na maeneo  mengine yaliyopangwa.

Tatu, kufuatia utaratibu huu mpya Waheshimwa Wune watauliza maswali na kujibiwa kwa njia ya maandishi kupitia tablet zao. Katika utaratibu huu Wabunge wote watatumiwa maswali na majibu, na Mbunge mwenye swali la misingi ataruhusiwa kuuliza maswali ya  nyongeza kwa njia ya maandishi kupita tablet. Vilevile hakutakuwa na kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.

Nne, kuhusu utaratibu wa upigaji kura wakati wa kupitisha Bajeti  za Wizara Waheshimiwa Wabunge watapiga kura kwa njia ya mtandao kupitia Tablet zao isipokuwa wakati wa upitishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali ambapo Wabunge wote watapata  fursa ya kupiga kura ya wazi kwa kuita jina la Mbunge mmoja mmoja. Pamoja na hayo waheshmiwa Wabunge watakuwa  pia na uwezo wakuchangia katika mijadla ya Bajeti, Miswada na Maazimio kwa anji aya maandishi kupitia Tablet zao.

Kwa mujibu wa Mhe. Spika mabadiliko  haya ni ya muda kufuatia ugonjwa wa Corona. Hivyo mabadiliko mengine yanaweza kufanyika au haya yakaondolewa kwa kuzingatia hali itakavyokuwa.

Kusoma taarifa kamili bofya hapa: Bunge - Taarifa kwa Umma.pdf


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.