• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DAWASA yaagizwa kuongeza uzalishaji wa Maji

Imewekwa tarehe: November 4th, 2022

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetakiwa kutenga fedha kwa ajili ya kutekeleza kazi ya uchimbaji wa visima zaidi ili kuongeza uzalishaji wa maji mjini kwa lengo la kukabiliana na changamoto ya ukame.

Kauli hiyo imetolewa na Mheshimiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa viongozi wa DAWASA alipokutana nao pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Waziri wa Maji kwa lengo la kujadili hali ya upatikanaji wa maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani.

Amesema kuwa Serikali itahakikisha maeneo yote yanapata huduma za maji na kuongeza kuwa kazi ya uchimbaji wa visima pamoja na kutafuta vyanzo vingine vya maji inaendelea ili kufikia matamanio ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ya kufikisha huduma ya maji karibu na makazi ya wananchi.

Mara baada ya kukagua na kuwasha pampu katika mradi wa Visima vya Maji Kigamboni, amesema kuwa visima hivyo vinauwezo wa kuzalisha lita milioni 70 za maji kwa siku vitakavyosaidia katika kukabiliana na changamoto ya upungufu wa maji katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam. 

Mnamo Novemba Mosi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Nishati Safi ya Kupikia alimuagiza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhakikisha anasimamia uunganishwaji wa maji kutoka Kigamboni kuja maeneo ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na kuangalia maunganisho ya ili kukabiliana na uhaba wa maji.

Waziri Mkuu amesema kuwa mahitaji ya maji kwa Dar es Salaam na Pwani ni lita milioni 544 kwa siku, na ambapo DAWASA inazalisha maji lita milioni 520 kwa siku, mbadala wa maji ya visima hasa kwa kipindi hiki ni jambo la msingi sana kwa lengo la kukabiliana na upungufu wa maji.

"Katika kipindi hiki ambacho kiwango cha maji katika Mto Ruvu kimepungua, uzalishaji wa maji nao umepungua na kufikia lita milioni 300 kwa siku, na kusababisha upungufu wa lita milioni 244, hivyo lita milioni 70 zinazoingizwa mjini kutoka katika mradi wa Visima vya Kigamboni, kutakuwa na upungufu wa maji lita milioni 174, hivyo zitasaidia kupunguza changamoto ya maji  katika baadhi ya maeneo", alisema Majaliwa


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.