• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dc Shekimweri aagiza ukamilishaji wa shule ya Msingi Mayeto kabla ya Tarehe 8 Januari,2024

Imewekwa tarehe: December 31st, 2023

Na. Leah Mabalwe, DODOMA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj. Jabir Shekimweri atoa agizo la ukamilishaji wa shule ya msingi Mayeto ifikapo tarehe 8 Januari, 2023 mara baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa mradi huo uliopo Kata ya Hombolo Makulu.

Alitoa agizo hilo alipotembelea shule hiyo ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya shule mpya na shikizi inayoendelea ndani ya Wilaya ya Dodoma.

’’Nimetembelea miradi mingi ya shule lakini nimekuja katika kata hii ya Hombolo Makulu naona kabisa kuna mapungufu katika umaliziaji wa mradi huu wa shule ya msingi Mayeto, kwahiyo nawapa muda kuanzia leo hadi tarehe 8 Januari,2024 mradi uwe umekamilika ikiwemo kurekebisha maeneo yote ambayo nimeyabainisha. Nimewapa muda huu kwasababu nataka mradi ukamilike kwa wakati ifikapo Jumatatu tarehe 8 shule zinapofunguliwa wanafunzi watumie majengo haya’’ alisema Alhaj Shekimweri.

Kwaupande wake Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi, Issa kambi, aliahidi kuongeza usimamizi na kuhakikisha marekebisho yanafanyika na kukamilika kwa wakati pia kuleta vifaa kwaajili ya umaliziaji na urekebishaji wa shule hiyo.

 “Tumeshabaini makosa mbalimbali na tumeshaanza kuyafanyia kazi katika shule hii pia, Mkurugenzi wa Jiji ameshatuma wataalam kuja kutathmini marekebisho yanayotakiwa katika shule hii ya Mayeto na tayari tumetenga kiasi cha fedha kwaajili ya marekebisho hayo ya shule. Hadi sasa vitu vya kufanyia marekebisho ya shule tayari vimeshanunuliwa hivyo, ifikapo ijumaa vitu vyote vitakuwa tayari vimeshafanyiwa marekebisho’’ alisema Kambi

……”Tumegundua pia kuna upungufu wa nguvu ya usimamizi hapa kwahiyo tumeamua kuongeza nguvu kazi kutoka ofisi ya mkurugenzi kwaajili ya usimamizi na kuhakikisha  unakamilika kabla ya shule kufunguliwa’’ aliongezea

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.