• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DC Shekimweri aita wadau kwenye elimu

Imewekwa tarehe: September 22nd, 2021

Na Binde Constantine, DODOMA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri ametoa rai kwa wadau wa elimu kuendelea kujitokeza kusaidia sekta ya elimu kwani bado kuna uhitaji wa vifaa vya kujifunzia kutokana na ongezeka la uandikishwaji wa wanafunzi.

Aliyasema hayo wakati wa hafla fupi ya upokeaji wa madawati kwa ajili ya shule ya sekondari Mbabala kama msaada kutoka Benki ya Stanbic iliyofanyika katika viwanja vya Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo Septemba 22, 2021.

“Kumekua na ongezeko kubwa sana la uandikishaji wa wanafunzi, kufuatia utekelezaji wa waraka wa elimu bila malipo, waraka wa elimu namba tano na namba sita, wazazi wameitumia fursa hiyo vizuri na matokeo yake miundombinu imekua haikidhi mahitaji” alisema Mkuu huyo wa Wilaya.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Sospeter Mazengo alisema, Halmashauri ya Jiji inapambana katika kuhakikisha wanaondokana na changamoto ya upungufu wa madawati katika shule zote za jiji hilo.

“Sisi kwa upande wetu kama Halmashauri tunapambana na changamoto ya kutatua upungufu wa madawati katika shule zetu lakini tunapoona taasisi binafsi kama Benki ya Stanbic wanaliona hili na kuamua kutuunga mkono basi tunafarijika sana, kwa hiyo tunawashukuru na kuwakaribisha tena Dodoma” alisema Mazengo.   

Naye diwani wa Kata ya Mbabala Paskazia Mayala aliomba ushirikiano baina ya Serikali na taasisi binafsi katika kuhakikisha shule zote za Jiji la Dodoma zinaondokana na adha ya upungufu wa madawati “sisi tunaomba ushirikiano baina ya serikali na taasisi binafsi ziweze kutuunga mkono katika kuhakikisha watoto wetu wanasoma kwenye mazingira mazuri” alisema Mayala.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.