• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DC Shekimweri apiga marufuku bughudha kwa abiria

Imewekwa tarehe: August 22nd, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini, Jabir Shekimweri (mwenye kofia pichani juu) amepiga marufuku kitendo cha wapiga debe na bodaboda Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma kulazimisha abiria wanaokwenda mjini kuwashushia kituoni hapo hata kama hawana uhitaji wa kushukia kwenye kituo hicho.

Marufuku hiyo ameitoa alipofanya ziara kituoni hapo baada ya kupokea malalamiko ya baadhi ya abiria kuwa wamekuwa wakilazimishwa na wapiga debe kushukia Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma ili wapande bodaboda licha ya kuwepo mabasi ya mikoani yanayopitiliza mpaka mjini kati Dodoma.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Wilaya ametembelea eneo lenye ukubwa wa ekari nane lililotengwa kwa ajili ya wajasiliamali lililopo katikati ya Kituo ya Kikuu cha Mabasi na Soko Kuu la Job Ndugai na kutoa ushauri namna nzuri zaidi ya upanuzi wa maeneo ya wajasiriamali huku mbunge wa jimbo la Dodoma mjini, Mhe. Anthony Mavunde akizungumzia manufaa yatakayopatikana kutokana na eneo hilo.

Awali akitolea maelezo juu ya eneo hilo la wajasiriamali, Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Jiji la Dodoma Hidaya Mizega amesema katika eneo hilo kutakuwa na kiwanda cha kusindika maziwa na ngozi huku Mstahiki Meya Prof. Davis Mwamfupe akisema hatua hiyo ni namna bora ya baraza la madiwani kutumia asilimia 10 ya mkopo ambapo Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Dodoma Inspekta Deogratius Inano akisema ni muhimu jeshi hilo kushikikishwa pia.

Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Jiji la Dodoma Hidaya Mizega akitoamaelezo kuhusueneolitakalotumiwanawajasiriamali.


Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri (wa tatu kutoka kulia) akimsikiliza Mhandisi wa Jiji la Dodoma, QS Ludigija Ndatwa akielezea hatua za ukamilishaji wa eneo la wajasiriamali na taratibu wa uendeshaji wa huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma, kushoto ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.